Dr Nchimbi Hoi!!!

Status
Not open for further replies.

babalao 2

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
5,425
Reaction score
3,300
Dk . Emmanue Nchimbi , ambaye
alikuwa waziri wa mambo ya ndani ya
Nchi, yuko hoi hospitarini . Madaktari
wanasema anasumbuliwa na ugonjwa
wa msongo wa mawazo .
Kwa mujibu wa mmoja wa
wanafamilia wa karibu wa Nchimbi ,
anasema mwanasiasa huyo
amekubwa na ugonjwa huo mara
baada ya Rais Jakaya Kikwete
kutangaza baraza lake la mawaziri
Jumapili iliyopita.
Amesema Nchimbi amekuwa
akisumbuliwa na msongo wa mawazo
tangu alipolazimishwa kujiuzulu na
Bunge baada ya kukumbwa na kashifa
kwenye opesheni ujangili.
Amenieleza kwa sasa amelazwa
kwenye hospitali moja jijini Dar es
Salaam chini ya ulinzi mkali wa
wanafamilia. Kulazwa kwake na hata
ugonjwa wake kumefanywa siri
kubwa .
Tunaendelea kufuatalia na
kutawaletea kila kitakachopatikana.

Chanzo: mitandao ya kijamii.
 
Pole sana mkuu. Naamini unamwamini na kumtegemea Mungu. Nimewahi kukusikia ukisema. Ni wakati wa kuwa practical
 
mwambieni anatakiwa kwenda kuoga baharini akiwa ..... wa mnyama, na akienda huko arudi kinyume nyume aoge mara tatu, akitoka hapo maadui zake wataugua
 
kukosa uwaziri is not the end of the world maisha lazima yaendelee tu , aponywe katika jina La Yesu

Uwaziri is said to be the end of life if and only if the Minister in qn has been using the title as source of Wealthy and Classic Life style!
MY TAKE! Mfumo wa RAIS WA NCHI KUTEUA NA KUTENGUA MAWAZIRI HAUJAKAA VIZURI, UKO TOO BIASED NA PERSONAL FEELINGS THAN COMPETENCE! MAWAZIRI WAAJIRIWE KWA INTERVIEW, MWISHO
 
Mwanangu Nkamia we ziba masikio komaa tu mpaka urudishe pesa zako zote ulopotezea kwa Prof Maji maarefu kwa kuusaka uwaziri.
Komaa tu mwanangu na kama unataka msaada wa ushauri wasiliana na Lusinde Kibajaji ndo peke yake mbunge mwenye busara za kushauri.
Komaa mpaka kieleweke!!!
 
Alisababisha bwana kutwaa watu wengi... Niilidhani naye bwana ametwaa....
 
nna mashaka na ukweli wa habari hii,
 
Nafikiri ni sababu ya ile ndoto ya kuwa RAIS imekatikia hewani. Sijui ile kambi yake itahamia kwa nani sasa?
 
Naimani Mungu kwa uwezo wake atamponya Dr Nchimbi ili arejee kuwawakilisha wananchi wa jimbo lake.

 
Anajiuguza ili apate huruma ya rais?!!! Maaskari walipokuwa wanaua wananchi maeneo mbalimbali ya nchi hilo mbona halikumuuguza? Au ni kuku tu walikuwa wanauawa? By the way, ni kwa nini hajaburuzwa mahakamani?
 
Alisababisha bwana kutwaa watu wengi... Niilidhani naye bwana ametwaa....

hahahahaha! Nacheka lakini si mazuri! Mkuu umenifanya nicheke mpaka nimedondosha M - simu wangu Mkubwa wa Mchina, ona sasa siwezi kuchangia tena..... Betry low...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…