johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,044
- 143,787
Waziri wa Fedha Dr Mwigullu PhD amesema miradi yote ya kimkakati iliyoanzishwa na Serikali ya Awamu ya 5 inaendelea kutekelezwa Fedha ipo hakuna Mradi uliosimama
Dr Mwigullu PhD aliyasema haya mjini Moshi wiki iliyopita
CCM oyeee!
Dr Mwigullu PhD aliyasema haya mjini Moshi wiki iliyopita
CCM oyeee!