Bora aisee kuliko kutukaangaKama mungu anatusikia nae amwite tunywe pombe mpaka asubuhi
Kwani hizi TOZO za miamala na mafuta hazitawagusa hao usemao ?!!!Kwann mikanda ifungwe na wananchi pekee hali viongozi wao wanalegeza mikanda.
Kwa hiyo Wananchi wachukue / wafanye UAMUZI kama kwenye SAKATA LA BEI YA MKATE HUKO KWA WENZETU WAJANJA?Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema bajeti ikishapitishwa na bunge inakuwa ni sheria hivyo waziri hana nguvu ya kufuta wala kubadili chochote
Dr Mwigullu atakuwa hewani siku ya Jumatatu katika kipindi cha Dakika 45 ITV akizungumzia mambo mbalimbali ikiwemo Chanjo ya Corona, bei ya petrol na Tozo katika miamala ya simu.
Source: ITV
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Wanapewa lita 2000 bure KILA mwezi,awakatwi kodi maslai yao.Watoto wao awapandi daladala.Uchungu wautoe wapiKwani hizi TOZO za miamala na mafuta hazitawagusa hao usemao ?!!!
Washawahi badili matumizi bila bunge kuhusikaMaana yake ni kwamba marekebisho yanaweza kufanywa na bunge siyo waziri!
Viongozi wanatuma miamala na kununua vocha kama sisi raia wa kawaida.Kwann mikanda ifungwe na wananchi pekee hali viongozi wao wanalegeza mikanda.
Duh vp kama kuanzia 78Mzee Mgaya anasema alifunga mkanda kuanzia 1978 wakati wa vita ya Kagera!
Utatuma tu huna namna ya kulikwepa hiliHatutumi hela tena, tuwaone wataendeshaje serikali yao, shenzitaipu.
Everyday is Saturday...............................
Huwezi kukabidhi nchi kwa wahuni, ukipatikana upinzani wa kueleweka watapewa nchiTembeeni kifua mbereeeee ! Hii nchi ni tajiri sana.....
Maendereo hayana chamaaaa...
MATAGA : KWERIIII....
Kiufupi tu ni kuwa laiti Watanzania kwa akili zao wangekubali kufanya maamuzi October 28 basi tusingekua huku ! Hiyo ndio siku Tanzania ilizikwa rasmi akiwa hai! Itachukua muda sana kueleweka na pia itachukua muda nchi kurudi kwenye mstari
Mwigulu asikwepe lawama , hivi aliyeandaa hayo mapedekezo ya hizo tozo ni nani kama sio yeye? Hapa amemchonganisha Rais na wananchi wake pakubwa sana!Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema bajeti ikishapitishwa na bunge inakuwa ni sheria hivyo waziri hana nguvu ya kufuta wala kubadili chochote
Dr Mwigullu atakuwa hewani siku ya Jumatatu katika kipindi cha Dakika 45 ITV akizungumzia mambo mbalimbali ikiwemo Chanjo ya Corona, bei ya petrol na Tozo katika miamala ya simu.
Source: ITV
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Wanapewa posho hadi ya vocha bureViongozi wanatuma miamala na kununua vocha kama sisi raia wa kawaida.
Hulka za kulalamika zinatunyima uwezo wa kawaida kabisa wa kuutazama uhalisia wa dunia hii.
Wanapenda vya bure siku wakivikosa wataliwa matakoWanapewa posho hadi ya vocha bure
Thus hawana uwezo wa kuishi nje ya kuajiriwa ufa mapemaWanapenda vya bure siku wakivikosa wataliwa matako
Marekebisho anafanya waziri anayapeleka bungeni linayapitishaMaana yake ni kwamba marekebisho yanaweza kufanywa na bunge siyo waziri!