Nimekusikulua jioni hii ukihamasisha watu wajazane uwanjani mechi ya simba na yanga ila ukumbuke kuna korona.Ikiwezekana milangoni muwapime watu joto sio kuwajaza tu uwanjani, likiibuka la kuibuka usitafute mchawi.Pesa mbele mauti nyuma.Waandishu nao mnajifanya mmesahau korona.