Dr Mwakyembe na kashfa ya misaada Kyela

sidhani kama mtafanikiwa kumchafua mwakyembe au kumnyang'anya jimbo lake, kama lowasa alishindwa, nani mwingine ataweza? huyo anapendwa na wapiga kura wake na watz kwa ujumla...hata kama yupo ccm lakini hata chadema na cuf wanampenda.mwacheni.
 

Tutaamini vipi kuwa hakuwashukuru weka source yako hapo.
 
issue sio majungu wala chuki bali kinachotakiwa ni kujitoa kwake mwenyewe na sio kupitia mgongo wa wengine na hilo ndilo wanachama wake wanahoji pia
punguza majungu, hiyo uliyoitaja ni kampuni yako sio, unajipalilia ubunge sio...?haya
 
Maadui ni wengi ila mwisho wa siku mtakaa kimya
piga kazimwake
 
Huyu mleta uzi naye ana uso kweli mana alitakiwa aone aibu, eti kumwita mtu ---- unapigwa ban?mi mgen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…