wewe ndio mbumbumbu maana umekurupuka bila kufuatiliamaelezo ya kutosha yaliotolewa kwenye thread hii, tunachojadili hapa ni kwamba pamoja na mbunge kuwa naushawishi kwa wadau mbalimbali kuchangia shughuli za maendeleo ni lazima piaappreciate wadau waliochangia, kwa mfano; alitakiwa aseme 'naishukuru kampuniya Bioland na NBC kwa kuchangia misaada nilioitoa' na si yeye pekee kuwa ametoamchango husika as if katumia mfuko wa jimbo, nadhani umeelewasasa.