Tukuyu Mabonde
New Member
- Mar 13, 2012
- 3
- 0
Mwakyembe unamkosea Mungu wako hujasimama kwenye ukweli katika jambo kubwa kama hili la kulishwa au kupakazwa sumu. Sema ukweli kuhusiana na jambo hili may God bless you brother
Ahsante, lakini kulingana na prof. mmoja mtaalamu wa immunology anasema radiation ndio chanzo kikubwa cha kuua hizo cell zinakotengenezwa- kwenye bone marrow. white cell kama inauua cell nyingine itatokea kwenye viungo vingine na itasababisha inflamation na sio kama ugonjwa wa mwakyembe. sumu-polonium itakuwa chanzo cha ugonjwa wake
kwani huwezi kupewa sumu ya kusababisha ugonjwa wa ngozi?Naona imekuwa kama hadithi ya "The Sky is Falling."
Ugonjwa wa ngozi tukaambiwa sumu
Mami NN, heri yako huna imani na uchunguzi.
Mkapa yeye ana imani kubwa kwa Serikali na Chama cha CCM.......
Mie nina imani zaidi na Wassira......
usiamini haraka ....siku zote ugonjwa huu hitokana na kitu kigeni kuingia mwilini na kushambulia hasa seli za mwili.....lakini pia kumbuka kwamba huyu mwakyembe ni mzuri wa kupindisha taarifa....