Mhe. Mwakyembe alikatiwa rufaa na mpinzani wake aliegombea nae ubunge mh. Mwanyamaki kupinga matokeo yaliyompa ushindi mh. Mwakyembe.
Sasa ameteuliwa kuwa waziri wa katiba na sheria. Kwa nature ya mfumo wetu je, haki itatendeka kweli wakati mahakama zipo chini yake?
Sasa ameteuliwa kuwa waziri wa katiba na sheria. Kwa nature ya mfumo wetu je, haki itatendeka kweli wakati mahakama zipo chini yake?