Dr. Mwakyembe anaweza kushinda kesi dhidi ya Mwanyamaki

Dr. Mwakyembe anaweza kushinda kesi dhidi ya Mwanyamaki

kangauka

Member
Joined
Aug 26, 2015
Posts
18
Reaction score
3
Mhe. Mwakyembe alikatiwa rufaa na mpinzani wake aliegombea nae ubunge mh. Mwanyamaki kupinga matokeo yaliyompa ushindi mh. Mwakyembe.

Sasa ameteuliwa kuwa waziri wa katiba na sheria. Kwa nature ya mfumo wetu je, haki itatendeka kweli wakati mahakama zipo chini yake?
 
Inamaana Pombe hajui kuwa anayemteua ana kesi??? Sheria zinasemaje kuhusu hili
 
Ukifumba wewe macho usidhani watu wote na wao hawaoni kama wewe uliyefumba macho, tuwaache tu CCM waendelee kufumba macho! Huwezi kuzuia mvua kunyesha bali chukua mwamvuli ufunike pale ulipo!!
 
Ukifumba wewe macho usidhani watu wote na wao hawaoni kama wewe uliyefumba macho, tuwaache tu CCM waendelee kufumba macho! Huwezi kuzuia mvua kunyesha bali chukua mwamvuli ufunike pale ulipo!!

Mkuu me huwa nachoshwa sana na jinsi CCM inavyofanya mambo yake, katiba hawaifuati, wako juu ya sheria, yatia uchungu sana kwa kweli, na ndio maana watu huwa wanajitoa muhanga kwa mambo km haya ya CCM kujiona wao zaidi ya wengine,
 
Ukifumba wewe macho usidhani watu wote na wao hawaoni kama wewe uliyefumba macho, tuwaache tu CCM waendelee kufumba macho! Huwezi kuzuia mvua kunyesha bali chukua mwamvuli ufunike pale ulipo!!



Kwa nchi wenzetu wanaojua Demokrasia huyo Waziri angetakiwa kukaa pembeni na kukiacha hicho kiti. Lakini mwakyembe yeye hana huo wembe!
 
Kuwa na kesi haimaanishi utashindwa,katiba haizuii,akishindwa kesi ataacha uwaziri
Maamuzi ya kesi mahakamani huzungukwa na kugubikwa na utashi wa Hakimu na mazingira ya kesi yenyewe yaani walalamikaji na walalamikiwa wana mahusiano gani na mahakama!
 
Mkuu me huwa nachoshwa sana na jinsi CCM inavyofanya mambo yake, katiba hawaifuati, wako juu ya sheria, yatia uchungu sana kwa kweli, na ndio maana watu huwa wanajitoa muhanga kwa mambo km haya ya CCM kujiona wao zaidi ya wengine,

Jitoe wew muhanga na ujha wako
 
Kwa nchi wenzetu wanaojua Demokrasia huyo Waziri angetakiwa kukaa pembeni na kukiacha hicho kiti. Lakini mwakyembe yeye hana huo wembe!

Watu wenyewe wa kununuliwa na CCM washawajua ndio maana nlikuwa mnampigia debe yule washrum sa ccm wafanyeje
 
Ni Dr Magufuli na Dr Mwakyembe ndio waliokuwa wanang'ara kwenye baraza la mawaziri la Kikwete

Sasa kama hilo hamlijui shaur zenu
 
Back
Top Bottom