PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 444
Waziri wa Afya(Dr, Mponda) na Naibu wake(Nkya) ebu kaa pembeni kwani nyie ndo mmeonekana kuwa kikwazo kwa maDaktari. kuendelea kung'ang'ania nafasi hizo ni adhabu kwa wananchi:
ni dhahili sasa vifo vya raia vitakavyotokea kutokana na mgomo wa Ma-Daktari nyie ndo wa kulaumiwa.
ni dhahili sasa vifo vya raia vitakavyotokea kutokana na mgomo wa Ma-Daktari nyie ndo wa kulaumiwa.