Dr. Mollel aibomoa tena CHADEMA Siha

Dr. Mollel aibomoa tena CHADEMA Siha

hugochavez

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
1,907
Reaction score
1,009
Chadema yabomoka kata ya donyo wilayani Siha ambapo wanachama wake 20 wamejiunga CCM kwenye mkutano Wa hadhara Wa kampeni Wa Dr Mollel mgombea ubunge kupitia CCM. Ni shida. Malaigwanan na mamorani kibao wamebwaga manyanga na kutangaza Wazi kuwa chadema imepoteza dira na mwelekeo. Hadi tarehe 17.02.2018 mbowe atabaki peke yake huko kwenye machadema
 
Chadema yabomoka kata ya donyo wilayani Siha ambapo wanachama wake 20 wamejiunga CCM kwenye mkutano Wa hadhara Wa kampeni Wa Dr Mollel mgombea ubunge kupitia CCM. Ni shida. Malaigwanan na mamorani kibao wamebwaga manyanga na kutangaza Wazi kuwa chadema imepoteza dira na mwelekeo. Hadi tarehe 17.02.2018 mbowe atabaki peke yake huko kwenye machadema
Wachaga wanajielewa
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Chadema yabomoka kata ya donyo wilayani Siha ambapo wanachama wake 20 wamejiunga CCM kwenye mkutano Wa hadhara Wa kampeni Wa Dr Mollel mgombea ubunge kupitia CCM. Ni shida. Malaigwanan na mamorani kibao wamebwaga manyanga na kutangaza Wazi kuwa chadema imepoteza dira na mwelekeo. Hadi tarehe 17.02.2018 mbowe atabaki peke yake huko kwenye machadema

hivi siha si kuna wachaga mtupu
 
Njaa huwa haichagui wewe umesoma kwa kiwango gani...Unaweza tumika kama dekeo tu...
 
Chadema yabomoka kata ya donyo wilayani Siha ambapo wanachama wake 20 wamejiunga CCM kwenye mkutano Wa hadhara Wa kampeni Wa Dr Mollel mgombea ubunge kupitia CCM. Ni shida. Malaigwanan na mamorani kibao wamebwaga manyanga na kutangaza Wazi kuwa chadema imepoteza dira na mwelekeo. Hadi tarehe 17.02.2018 mbowe atabaki peke yake huko kwenye machadema
Hii ni Uongo mtupu, msimwamini huyu mwanaizaya
 
Chadema yabomoka kata ya donyo wilayani Siha ambapo wanachama wake 20 wamejiunga CCM kwenye mkutano Wa hadhara Wa kampeni Wa Dr Mollel mgombea ubunge kupitia CCM. Ni shida. Malaigwanan na mamorani kibao wamebwaga manyanga na kutangaza Wazi kuwa chadema imepoteza dira na mwelekeo. Hadi tarehe 17.02.2018 mbowe atabaki peke yake huko kwenye machadema


Wamegundua kuwa Lowasa siyo Mmasai bali ni Mmeru/Machame kama Mbowe hivyo wameona wamednganywa kuanzia mwanzo!
 
Back
Top Bottom