Dr. Mkumbo aula UDSM

 
Mbona wewe uko online??? Utajifanya eti ni mjasilia mali................hahahaaaa......... mjasilia mali hawezi kuwa na time ya kupoteza kwenye internet!!
niko online coz i can afford broadband from my own deep pocket. na pia silipwi kwa kutumia kodi za wavuja-jasho.
pia i find it really gay mtu kuanza kusoma profile ya mwanaume mwenzako Jf, mazee kachek hormone kama zime-balance.
 
hongera sana Dr. kitira mkumbo unastahili big up sanaaaaaa
 
Katufu Tungojee migomo ya Chadema ihamie mkwawa

Teh teh te teh umenikumbusha na ule uzi wako wa kutimuliwa UDSM eti kisa Makamanda. Utakufa na ufisadi wa habari wewe
 
Last edited by a moderator:
Hongera Dkt. Mkumbo, we are proud of you
 
Niungane na wenzangu kumpongeza Dk Nkumbo
 
big up mkumbo then prof baregu anarekebisha katiba prof safari ndani ya nyumba ww unasema cdm hakuna wasomi m4czeeeeeeeeeeeeeeeee

Ha ha ha ha ha ha,wapo wengi tu kama Mbowe,Wenje,Msigwa,Lema,Sugu na wengine kibao!
 
Tahadhari! Dr mkumbo wewe ni mtu muhhmu sana. Adui wako mkubwa ni chemba gulu. Jiadhari na sumu wanazonywesha watu hawa magamba. Kama vurugu zimetokea singida had kuuwa mtu zikiratimbiwa na chemba gulu,je hawez fanya baya kwako.tunaomba sana lakin ongeza taadhari.
 
Hongera Dr Mkumbo.Huwa unanifurahisha sana kwanye kile kipindi cha This week in perspectives!

not only that but kwenye kila kipindi cha TV cha mahojiano "kipima joto - ITV na tuongee asubuhi - startv", hongera sana Dr.Mkumbo
 
Ha ha ha ha ha ha,wapo wengi tu kama Mbowe,Wenje,Msigwa,Lema,Sugu na wengine kibao!

Lusinde, Mwigulu a.k.a Lameck, Prof.Maji marefu, Dr.Kikwete, Mukama, Anna Makinda, Silvesta Mabumba, orodha ndefu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…