Dr. Mengi atangaza zawadi ya ml.10

Dr. Mengi atangaza zawadi ya ml.10

MENGI ameonyesha ujasiri ambao hata rais wa nchi hajawahi kuonyesha. Hongera sana MENGI.
 
ha haa...asaidie watu aliowaajiri..unyonyaji na majungu vs undugu .... basic rights ni ndoto ukiwa chini yake. ila kwa ishu flani flani ndio kwanza kuita media na kuseek sympathy...damb

Mkuu mbona huyu jamaa analalamikiwa sana?

kwani mishahara anayolipa wafanyakazi wake inasimama kuanzia ngapi hadi ngapi?
 
Back
Top Bottom