Dr. Mengi atangaza zawadi ya ml.10

Dr. Mengi atangaza zawadi ya ml.10

Muwazi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2014
Posts
355
Reaction score
81
Mengi amesema atakayesaidia kukamatwa kwa waliomkata mkono Albino wa Tabora atamzawadia sh.10,000,000. Lakini pamoja na hayo, wengine wa mauaji ya hapo awali wamewahi kukamatwa na baadae kuachiwa licha ya kuwepo ushahidi wa kuthibitisha hilo.

Acha MENGI aongee na mda huu tunamuona @ITV na ameahidi kusomesha watoto wa mjeruhiwa na kuomba polisi wachukue hatua za haraka kuwasaka wahusika wote. Amesema mganga aliyehusika atafutwe na akamatwe na awataje hao wahusika. Big up MENGI maana kauli yako imeonyesha masikitiko makubwa sana ila Polisi wetu ndo watakuanguasha pamoja na MAHAkama zetu maana RUSHWA imetawala sana.
 
Mengi amesema atakayesaidia kukamatwa kwa waliomkata mkono Albino wa Tabora atamzawadia sh.10,000,000. Lakini pamoja na hayo, wengine wa mauaji ya hapo awali wamewahi kukamatwa na baadae kuachiwa licha ya kuwepo ushahidi wa kuthibitisha hilo.

Asante Mr Mengi kwa kuonyesha uchungu kwa jambo hili ambalo ni uovu usiokua na mfano. Mtu yeyote mwenye dhamira hai akitafakari uovu huu hakosi kutokwa na machozi.

Mengi umeonyesha kua wananchi tukiamua uovu huu hautafanyika Kati yetu . Haya shime ndugu zangu tuungane kwa pamoja kila mwenye taarifa aitoe hatimae waovu hawa waweze kupatilizwa adhabu kali. Tafadhalini Polisi na mahakama fanyeni kazi yenu kwa bidii , ueledi na kiadilifu ili muwe kitisho kwa yeyote mwenye nia ya kutenda uovu huu.

Udhaifu wowote ktk jeshi la Polisi au mahakama ni mojawapo ya kichocheo Cha uovu huu .

Hongera sana mr. Mengi.
 
uchungu waapi..huyu mtu anapenda airtime kwenye dude lake..sasa hivi anaongea hapa..habari yake kila saa on air..
 
Mengi amesema atakayesaidia kukamatwa kwa waliomkata mkono Albino wa Tabora atamzawadia sh.10,000,000. Lakini pamoja na hayo, wengine wa mauaji ya hapo awali wamewahi kukamatwa na baadae kuachiwa licha ya kuwepo ushahidi wa kuthibitisha hilo.
Mkuu mie nimemsikia Mil.2.
 
uchungu waapi..huyu mtu anapenda airtime kwenye dude lake..sasa hivi anaongea hapa..habari yake kila saa on air..

Acha MENGI aongee na mda huu tunamuona itv na ameahidi kusomesha watoto wa mjeruhiwa na kuomba polisi wachukue hatua za haraka kuwasaka wahusika wote. Amesema mganga aliyehusika atafutwe na akamatwe na awataje hao wahusika. Big up MENGI maana kauli yako imeonyesha masikitiko makubwa sana ila Polisi wetu ndo watakuanguasha pamoja na MAHAkama zetu maana RUSHWA imetawala sana.
 
Last edited by a moderator:
ha haa...asaidie watu aliowaajiri..unyonyaji na majungu vs undugu .... basic rights ni ndoto ukiwa chini yake. ila kwa ishu flani flani ndio kwanza kuita media na kuseek sympathy...damb
 
ha haa...asaidie watu aliowaajiri..unyonyaji na majungu vs undugu .... basic rights ni ndoto ukiwa chini yake. ila kwa ishu flani flani ndio kwanza kuita media na kuseek sympathy...damb
Awasaidie wafanyakazi wake kwani wao ni Albino? Yeye kasema kuhusu albino wewe wasema wafanyakazi. Mbona sikuelewi
 
Mengi amesema atakayesaidia kukamatwa kwa waliomkata mkono Albino wa Tabora atamzawadia sh.10,000,000. Lakini pamoja na hayo, wengine wa mauaji ya hapo awali wamewahi kukamatwa na baadae kuachiwa licha ya kuwepo ushahidi wa kuthibitisha hilo.

Hongera sana Dr. MENGI kwa ujasiri uliouonyesha kuhusu hawa ndugu zetu albino.
 
Last edited by a moderator:
hivi yule aliyeliaga bungeni alichukua hatua gani? na leo kama nimesikia BBC dira ya dunia kuwa albino wameandamana kuna mshtakiwa kasema anatumwa na viongozi. sasa wanamtaka awataje hao viongozi. du
 
ha haa...asaidie watu aliowaajiri..unyonyaji na majungu vs undugu .... basic rights ni ndoto ukiwa chini yake. ila kwa ishu flani flani ndio kwanza kuita media na kuseek sympathy...damb

Mnafiki tu,watumishi wake wanaishi kwa shida nyingi mshahara mdogo,tukija kusikia mtumishi wake nae kaelekea huko kwa sababu ya shida sitashangaa, ni kampuni zake zinazoongoza kwa mishahara midogo,
 
ha haa...asaidie watu aliowaajiri..unyonyaji na majungu vs undugu .... basic rights ni ndoto ukiwa chini yake. ila kwa ishu flani flani ndio kwanza kuita media na kuseek sympathy...damb

Fungua thread mpya.
 
Kwani mshahara wa wafanya kazi si kima cha.chini laki7?mnataka alipe bei gani acheni majungu Mungu ampe moyo huo wa ukarimu kwa wenye maitaji
 
asante mzee mengi labda watapatikana tatizo ni vyombo vya dora haviko wazi
 
Hongera sana Dr. MENGI kwa ujasiri uliouonyesha kuhusu hawa ndugu zetu albino.


Ujasiri wa Mengi bila commitment ya serikali katika kuwachukulia hatua wahusika ni kazi bure. Kuna mdau humu amesema kuna wahusika walikamatwa wakaachiwa na serikali, kwa mtindo huo Mengi si atakuwa anatwanga maji kwa kinu?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom