Dr. Mashinji mpaka sasa ndio Katibu Mkuu bora wa chama cha siasa nchini

Naona watu wazito wa Ufipa mnaanza kutetea bomu lenu.
Weka facts za utofauti , shawishi kuwa ni bomu kwa hoja na sio kwa viroja ......kuna ukweli na kuna Propaganda sasa hapa umewekwa ukweli wenye mashiko ..........Mtakaa tu mwaka huu mlizoea kujua mipango kabla ya utekelezaji kwa sababu ya Dr.Slaa kuongea sana na media sasa huyu ni silent operator na mjue tu kuwa huyu ni Daktari anatafuta kiini cha ugonjwa ndio anashughulika nacho na sio dalili.....
 
Mkuu kinana kashavurugwa anataka kupumzika na siasa,mambo ya kufokewa kama mtoto nani anataka?
Kumbe ndivyo kulivyo nyumba ya mtaa wa pili ......Lizabon anatoa wapi nguvu za kumwaga povu daily humu kama hali yenyewe ndio hiyo ? Au anafikiri mafanikio ya akina Mwampamba naye yataweza kumfikia ?
 
Ngoja nitulie kwanza maana naambiwa vijana wameitwa semina ili kupewa majibu maana wamekosa waseme nini ili walau wapate kupona siku ya leo .....
 
Ndio nani huyo au wa Chama kipya? Hasikiki na hafahamiki na sijui kama anafahamu majukumu yake!!
 
mkianza kusajili wanachama electronically...tutakamata mashine zenu kama wale vijana wa IT...natania tu
 
Ivi uyo katibu si alichaguliwa siku moja na makonda embu piama utendaji wao bas hata kama ni sikio la kufa embu sikia hyo dawa.
Huwezi mlinganisha Kinana na vitu vya kipumbavu Cv ya kinana huyo nyumbu hawezi mfikia hata miaka 100
 
Ivi uyo katibu si alichaguliwa siku moja na makonda embu piama utendaji wao bas hata kama ni sikio la kufa embu sikia hyo dawa.
Huwezi mlinganisha Kinana na vitu vya kipumbavu Cv ya kinana huyo nyumbu hawezi mfikia hata miaka 100
Acha matusi , jibu maswali juu ya Kinana kwenye hiyo post ........Makonda amepambana na Shisha na Mashoga dunia inajua ....
 
Ki ukweli Mashinji anafanya kazi, na mbinu anayotumia ni muafaka ktk mazingira ya sasa.Yaani anajenga chama kimya kimya na kwa vitendo zaidi.Hii ni nzuri kwani ukiongea sana maadui wanajua mbinu zako hivyo wanaweza kukukwamisha.Mafanikio yake mengine ni ule mkakati wake wa kujenga ofisi kila kanda na kukarabati makao makuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…