Dereva wa Kirikuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 751
- 624
Rais wetu Magufuri yupo Blinding live star tv, yule mwenye mdondo wa kuku sijui yupo wapi saa hizi. Kura yangu ni kwa Magufuri.
Baada ya Mapumziko ya siku mbili, mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dr. Magufuli ameanza rasmi ziara kwenye mkoa wa Lindi na asubuhi hii amefanya mkutano kwenye jimbo la Nachingwea.
View attachment 297753View attachment 297754View attachment 297755View attachment 297756View attachment 297757
Mnamuombea mabaya eee???
Hata umalaya ni kazi...!!! Ideology nyingine bwanaa...! Kazi ya tingatinga ni kubomoa na sio kujenga..sijui nani ni kampeni manager wa masolex...!!!
Kama mamzombie ya ccm yanavyomwombea mabaya Lowassa
raisi wa mitusi...awatukane sasa wana mtama kisa anamtaka mathew
Hivi uwongo huu Ccm utawasaidia nini?
Hizo picha mbona siyo za asubuhi jamani?
Kwa nini mnapenda kumtumikia shetani asiye na fadhila?
Haya farijianeni kwa uwongo huo!
Press ya jana jamaa alikua anafanya vikao na wataalam wake,leo tunaambiwa alikua mapumziko!