Kamjingijingi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2009
- 806
- 129
Alipata samiya suluhu itakuwa magufuli? Amewaacja wamasai hata nguo hawana zakuvaa sasa watachezaje huo mziki?!nenda magufuli monduli
Katika hali ya kuonesha ubabe wa kisiasa na kukubalika, mgombea wa CHADEMA/UKAWA alipata mapokezi ya kustaajabisha na mkutano mkubwa huko Chato. Chato ni jimbo na nyumbani kwa mgombea wa CCM,Dr. John P. Magufuli. Mapokezi ya Lowassa Chato, kutokana na wanyetishaji wangu, yamemuanika Lowassa kama anayekubalika popote na kumdhalilisha Dr. Magufuli.
Katika hali ya kulipa kisasi cha kisasa na kisiasa, Dr. Magufuli ameapa kwenda kuitikisa Monduli,jimboni na nyumbani kwa Edward Lowassa.Wanatimu wa Dr. Magufuli wameniambia kuwa lengo la kwenda na kuitikisa Monduli ni kuonesha umma wa Tanzania kuwa anakubalika popote, hata umasaini kwa Lowassa. Kisiasa, Dr. Magufuli anapaswa kujibu mapigo kama anavyotamani.
Go Dr. Magufuli and we see a real politics!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Magufuli amewashangaza wana-chato kwa kuchimba dimbwi la kufuga kambare huku ziwa kubwa likiwa liko karibu. Badala ya kuwapa vijana vifaa vya kisasa vya kuvulia samaki ziwani yeye akachimba dimbwi la kufugia samaki nyumbani kwake ale yeye na familia yake tu.Katika hali ya kuonesha ubabe wa kisiasa na kukubalika, mgombea wa CHADEMA/UKAWA alipata mapokezi ya kustaajabisha na mkutano mkubwa huko Chato. Chato ni jimbo na nyumbani kwa mgombea wa CCM,Dr. John P. Magufuli. Mapokezi ya Lowassa Chato, kutokana na wanyetishaji wangu, yamemuanika Lowassa kama anayekubalika popote na kumdhalilisha Dr. Magufuli.
Katika hali ya kulipa kisasi cha kisasa na kisiasa, Dr. Magufuli ameapa kwenda kuitikisa Monduli,jimboni na nyumbani kwa Edward Lowassa.Wanatimu wa Dr. Magufuli wameniambia kuwa lengo la kwenda na kuitikisa Monduli ni kuonesha umma wa Tanzania kuwa anakubalika popote, hata umasaini kwa Lowassa. Kisiasa, Dr. Magufuli anapaswa kujibu mapigo kama anavyotamani.
Go Dr. Magufuli and we see a real politics!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam