VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Katika hali ya kuonesha ubabe wa kisiasa na kukubalika, mgombea wa CHADEMA/UKAWA alipata mapokezi ya kustaajabisha na mkutano mkubwa huko Chato. Chato ni jimbo na nyumbani kwa mgombea wa CCM,Dr. John P. Magufuli. Mapokezi ya Lowassa Chato, kutokana na wanyetishaji wangu, yamemuanika Lowassa kama anayekubalika popote na kumdhalilisha Dr. Magufuli.
Katika hali ya kulipa kisasi cha kisasa na kisiasa, Dr. Magufuli ameapa kwenda kuitikisa Monduli,jimboni na nyumbani kwa Edward Lowassa.Wanatimu wa Dr. Magufuli wameniambia kuwa lengo la kwenda na kuitikisa Monduli ni kuonesha umma wa Tanzania kuwa anakubalika popote, hata umasaini kwa Lowassa. Kisiasa, Dr. Magufuli anapaswa kujibu mapigo kama anavyotamani.
Go Dr. Magufuli and we see a real politics!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Katika hali ya kulipa kisasi cha kisasa na kisiasa, Dr. Magufuli ameapa kwenda kuitikisa Monduli,jimboni na nyumbani kwa Edward Lowassa.Wanatimu wa Dr. Magufuli wameniambia kuwa lengo la kwenda na kuitikisa Monduli ni kuonesha umma wa Tanzania kuwa anakubalika popote, hata umasaini kwa Lowassa. Kisiasa, Dr. Magufuli anapaswa kujibu mapigo kama anavyotamani.
Go Dr. Magufuli and we see a real politics!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam