Dr. Lwaitama: Sera pacha ya Demokrasia na Maendeleo

Dr. Lwaitama: Sera pacha ya Demokrasia na Maendeleo

Alipigwa marufulu kupanda ndege ya precission air huyo .Alishushwa kwenye ndege na polisi na kupigwa ban .Mtanzania wa kwanza toka Tanzania iwepo kushusha kwenye ndege na kupigwa ban kw ukorofi ndani ya ndege
Tumia basi akili kidogo, sema sababu za kupigwa ban hapa

Nyie ndo mnasema tuongee kiswahil na mkuu wenu haendi hata nje ya nchi kukwepa kuongea king'eng'e

Dr. Lwaitama alipigwa ban baada ya kukaa siti ambayo kwa maelezo yao anayekaa pale anapaswa kuongea Kingereza wakat yy Dr aligoma kutumia hyo lugha kwa madai kuwa yupo Tanzania na Kiswahil ndiyo lugha ya taifa,

Sasa nyie kila siku mnasema mabeberu mabeberu ila mnampinga tena Dr. Lwaitama kwa kupinga kutumia lugha ya kibeberu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia basi akili kidogo, sema sababu za kupigwa ban hapa

Nyie ndo mnasema tuongee kiswahil na mkuu wenu haendi hata nje ya nchi kukwepa kuongea king'eng'e

Dr. Lwaitama alipigwa ban baada ya kukaa siti ambayo kwa maelezo yao anayekaa pale anapaswa kuongea Kingereza wakat yy Dr aligoma kutumia hyo lugha kwa madai kuwa yupo Tanzania na Kiswahil ndiyo lugha ya taifa,

Sasa nyie kila siku mnasema mabeberu mabeberu ila mnampinga tena Dr. Lwaitama kwa kupinga kutumia lugha ya kibeberu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kha Mkuu naona umempa vidonge vyake, hizo ni za uso-watu wanataka kutetea visivyo tetewa: shiada kabisa.
 
The only logical explanation ujaiangalia video au umeangalia nusu. Vinginevyo humo ndani kaonyesha kadi yake ya CDM na katuambia tarehe aliyojiunga na sababu ambazo kama vile ni personal against Magu.

Lwaitama in my opinion angechukua njia ya wakosoaji wengine kama ‘Ulimwengu’ ambayo non partisan kwa umri wake kuliko kujiweka kwenye siasa za vyama especially akiwa hana nia ya uongozi kwa kauli yake.

Ni mwanazuoni mzuri kwa hoja za ‘polities’ of our day in Tanzanian context.

Ukimsikiliza hoja zake zimeenda shule kwenye hiyo video tu analeta maswali ya msingi sana watu kama kina Plato walikuwa wanauliza kuhusu umuhimu watu kuamua mipango yao ya maendeleo au watu wachache wapange; matter of fact ndio msingi mzima wa majadiliano kwenye kitabu chake cha ‘The Republic’. Sasa sijui kama nayeye kapitia maandishi yake au la maana kwenye hitimisho wanatofautiana.

Sina shaka Lwaitama has depth hila hili la siasa za kichama sioni kama ni maamuzi makini kwake, kwa sababu siasa zinataka unafiki.
Hoja yangu ya msingi ni ile ya maendeleo ya vitu viende sambamba na maendeleo ya watu na uongozi bora ambavyo yeye anaona vimekosekana jambo ambalo mwal. Nyerere aliwahi kulisema enzi zake kwenye jukwaa la CCM likakubalika lakini hayohayo kwenye jukwaa la Chadema halikubaliki! Rejea Dr. Slaa akigombea urais aliahidi elimu bure wanaccm walisema haitawezekana lakini haohao amesema Dr Magufuli wanaunga mkono inawezekana!
 
Haka kazee kana sisimizi kichwani badala ya ubongo, huwa kanaongea pointless kila speech zake, ni sawa na yule mwenye midevu myeupeeee alioa juzi akiwa na muaka 75+ ametumia umri wake wioote kusoma shule

Sent using Jamii Forums mobile app
Sometimes ni bora mtu upite hivi bila Ku comment. Unajidhalilisha na kuonyesha ni namna gani ulivyo mweupe kichwani. Wenye uelewa wanamkubali saaana.
 
Kakwambia alikuwa TANU, pia ni mwanazuoni (retired senior lecturer (PhD), UDSM), sasa usichoelewa ni nini?
Kwaiyo kuwa Au mwanazuoni ni justification ya kuwa lulu ya Taifa..hopeless!!
 
Tumia basi akili kidogo, sema sababu za kupigwa ban hapa

Nyie ndo mnasema tuongee kiswahil na mkuu wenu haendi hata nje ya nchi kukwepa kuongea king'eng'e

Dr. Lwaitama alipigwa ban baada ya kukaa siti ambayo kwa maelezo yao anayekaa pale anapaswa kuongea Kingereza wakat yy Dr aligoma kutumia hyo lugha kwa madai kuwa yupo Tanzania na Kiswahil ndiyo lugha ya taifa,

Sasa nyie kila siku mnasema mabeberu mabeberu ila mnampinga tena Dr. Lwaitama kwa kupinga kutumia lugha ya kibeberu

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE

mkuu kweli mahaba hupofusha, so kama Rais anaogopa kwenda nje sababu ya lugha, mbona wazungu, wachina, wahindi nk wanakuja huku na hawajui hata kiswahili huwa wanaelewanaje, maana kuna mpaka vifaa vya ku-translate kila mtu akaongea lugha yake na bado mkaelewana au akienda huko watamzuia kutumia hivyo vifaa?
 
December 11, 2019
Dar-Es-Salaam, Tanzania

Mada : Sera pacha ya Maendeleo ya Watu na Maendeleo ya Vitu

Dr. Azaveli Lwaitama akizungumza na wazee wa CHADEMA ameainisha jinsi sera pacha ya Demokrasia na Maendeleo inavyoshika kasi ushawishi miongoni mwa watu-huru.

Sera hii pacha ina kwenda sawasawa na maono ya CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO ( CHADEMA) ambayo tangu kuasisiwa kwake mwaka 1992 imesisitiza maendeleo ya vitu yaendane na maendeleo shirikishi ya watu kupitia demokrasia.

Ambapo wananchi mmoja mmoja na kama vikundi hukubaliana kupitia ushawishi wa kidemokrasia maendeleo pacha ya vitu na maendeleo ya watu yanapatikana sawia.




Source: DARMPYA TV

Sera hii ya maendeleo na demokrasia ni tofauti na mtizamo wa chama kongwe ambacho awamu hii ya 5 imeamua kutosa mwananchi yaani watu wasipate maendeleo na wala hawatakiwi kuhoji vipi mnatuacha na kushikilia maendeleo ya vitu.

Chama kongwe CCM sasa kinaamini katika kuminya demokrasia, mawazo huru na ushirikishwaji watu ktk maamuzi ya mustakabali wa maisha yao.

Hapa ndipo penye tofauti kubwa kuelekea 2020 ambapo CHADEMA ina ushawishi mkubwa wa watu huru kupitia demokrasia kujiamulia maendeleo ya vitu sambamba na maendeleo ya watu.

Huku CCM wao wameamua kuwapa kikundi kidogo kusingizia maendeleo ya vitu yataletwa kwa kuwanyima watu uhuru wao wa kidemokrasia huku wakiwanyima maendeleo ya watu kitu kinachopelekea umasikini na ugumu wa maisha kushika kasi nchini Tanzania.

Senile
 
Hoja yangu ya msingi ni ile ya maendeleo ya vitu viende sambamba na maendeleo ya watu na uongozi bora ambavyo yeye anaona vimekosekana jambo ambalo mwal. Nyerere aliwahi kulisema enzi zake kwenye jukwaa la CCM likakubalika lakini hayohayo kwenye jukwaa la Chadema halikubaliki! Rejea Dr. Slaa akigombea urais aliahidi elimu bure wanaccm walisema haitawezekana lakini haohao amesema Dr Magufuli wanaunga mkono inawezekana!
Wewe sasa unaleta hoja zako na definition zako tofauti na yale ambayo yaliyoongelewa na Lwaitama.

Anachozungumzia yeye philosophical choices za polities kati ya utawala wa dizaini ya Oligarchy/kikoloni fulani ambapo watu wachache wanaamua nini cha kufanya kwa niaba yenu kwa sababu wanadhani ndio sahihi.

As opposed to democratic ways ambazo watu wanakaa wanaamua nini kifanywe kwa sababu ndio wanachotaka kwa umoja wao.

Anaiona CCM kama cha Oligarchies ambao wanadhani wanajua nini watanzania wanatakiwa kupewa kwa sababu wengi awajui kipi ni bora na chenye manufaa kwao ina maana wananchi sio watu huru kwa mtazamo wake kwa sababu wanacholetewa ni matakwa ya wachache sio yao.

For more on that read Plato, hayo mengine yako wewe.
 
Alipigwa marufulu kupanda ndege ya precission air huyo .Alishushwa kwenye ndege na polisi na kupigwa ban .Mtanzania wa kwanza toka Tanzania iwepo kushusha kwenye ndege na kupigwa ban kw ukorofi ndani ya ndege
Hahaha hiyo sikuijua, kumbe ndicho ulikuwa ukutaka tuseme?!
Asante kwa taarifa.
 
CCM imeishiwa pumzi ya kisiasa na sasa kauli mbiu ya Maendeleo na Demokrasia ya CHADEMA itabebwa rasmi kupelekwa kwa wananchi kuelekea 2020.

Sasa hivi CHADEMA na sera zake zinaeleweka vizuri zaidi na hivyo kama chama tumekuwa imara zaidi na ushawishi mkubwa kwa waTanzania baada ya wao (wananchi) kuishi /kupitia kipindi kigumu ktk miaka minne ya utawala wa awamu ya tano ambapo Maendeleo ya watu yamepuuzwa na demokrasia kubinywa.


Source: Mwanahalisi TV
 
Back
Top Bottom