Hajapotea alistaafu UDSM na akanyimwa mkataba kwa sababu ya misimamo yake. Yuko Bukoba kwenye chuo fulani kikuu.Lwaitama HAJAWAHI NIANGUSHA..sijui alipoteleaga wapi
Hajapotea alistaafu UDSM na akanyimwa mkataba kwa sababu ya misimamo yake. Yuko Bukoba kwenye chuo fulani kikuu.Lwaitama HAJAWAHI NIANGUSHA..sijui alipoteleaga wapi
Kwa Lugola keshatoa. ..no matusiBasi inabidi watoe ni limit ipi ya kumkosoa rais na watu watafuata
In God we trust
duh...nchi hii!ndo maana kapotea kwenye mediaHajapotea alistaafu UDSM na akanyimwa mkataba kwa sababu ya misimamo yake. Yuko Bukoba kwenye chuo fulani kikuu.
Kwa Lugola keshatoa. ..no matusi
Hili ndiyo tatizo hasa,Lwaitama kwani hajui tatizo la Tundu ni yupo upande wa upinzani... unategemea nini? Na issue kuu anamgusa mkulu direct hiyo nayo ni shida
Lwaitama ni nomaanachambua ka utani vilelkn anagonga pale paleee,,
Huyo mzee ni muasisi ktk Siasa hata wana fisiem wanamjua
Walimkataa kwa ukweli wake na ana msimamo huwa yupo wazi ktk jambo akiliona linaenda tofauti
Lkn mimi namkubali saana na yoyote mwenye kumkubali agonge
LIKE♂️
Kwa hiyo unapendekeza, huku ukiwa na akili timamu, kuwa Dr Lwaitama hana haki ya kutoa maoni au una maana gani hasa? Tanzania ni yetu sote!Lwaitama yule alikuwa 2013 kurud nyuma asaiv hata sumu hana kwanza hatumuelew anataka nn. ..inatakiwa apumzike ale kikokotoo chake hizi mbio asaiv haziwez
Sent using Jamii Forums mobile app
Lwaitama HAJAWAHI NIANGUSHA..sijui alipoteleaga wapi
Leo mitahaira ya lumumba huion hapa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nasikia iko kwenye mgomo baridi hawajalipwa buku 7 zao za wiki iliyopita
😜😜😜
Yuko vizuri huyu. Huku Lissu, kati Lwaitama na kule Zitto mashambulizi ya pamoja ni lazima dikteta aweweseke na ile kauli yake Urais mgumu.
Hajaambiwa aonyeshe makabuli ya babu zake kuthibitisha uraia wake .
nasikia iko kwenye mgomo baridi hawajalipwa buku 7 zao za wiki iliyopita
Yuko vizuri huyu. Huku Lissu, kati Lwaitama na kule Zitto mashambulizi ya pamoja ni lazima dikteta aweweseke na ile kauli yake Urais mgumu.
Kwa hiyo unapendekeza, huku ukiwa na akili timamu, kuwa Dr Lwaitama hana haki ya kutoa maoni au una maana gani hasa? Tanzania ni yetu sote!
Kwa akili yang timamu natimiza kuwa namuomba Dr Lwaitama sasa apumzike mana midundo ya asaiv haiwez nw ni speed kubwa sana so maoni yake tumeyatumia sana kipind cha nyuma inatoshaKwa hiyo unapendekeza, huku ukiwa na akili timamu, kuwa Dr Lwaitama hana haki ya kutoa maoni au una maana gani hasa? Tanzania ni yetu sote!
kujiamin kwake kamzidi mtoto wa kigoma Kakobe so atulie mdundo wa asaiv hauwez tuna speed kubwa sana ya maendeleoHakuna mtu wa kumnawa nawa yule wanamuogopa maana anjiamini sana
In God we trust