Dr.Lwaitama ameshauri Tundu Lissu ajibiwe kwa hoja badala ya kufokewa na kushutumiwa.
Na ametoa mfano wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ambaye aliikosoa serekali ya Raisi Mwinyi.
Dr.Lwaitama anahoji kama Mwalimu Nyerere alikosa uzalendo alipokosoa serekali ya awamu ya pili.
Na ametoa mfano wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ambaye aliikosoa serekali ya Raisi Mwinyi.
Dr.Lwaitama anahoji kama Mwalimu Nyerere alikosa uzalendo alipokosoa serekali ya awamu ya pili.