keteka
Senior Member
- May 12, 2013
- 149
- 52
DKT. LUCAS WEBIRO WA CHADEMA ANZA ZIARA YA KICHAMA BUNDA MJINI LEO.
Madhumuni ziara ya Dkt.Lucas Webiro wa CHADEMA yatakuwa ni kuwapatia nguvu wananchi na shauku ya kushiriki katika kupigania uchumi na maisha ya kila siku pamoja siasa ya umma.
"CHADEMA ni Msingi" haina lengo la kuwaacha Wanabunda mbali, bali inafikiria kujenga uwezo wa chama kutoka chini hadi ngazi ya juu kwenye nafasi ya siasa,uchumi, afya na elimu ya kujitegemea na kuwatangazia wananchi kupitia nguvu ya uuma, shughuli na mipango itayotekelezeka kwa uuma, ili kuleta mafanikio makubwa katika maisha ya watu wa Bunda, kuanzia ngazi ya Shina hadi Taifa.
Naomba ushirikiano wenu katika ziara hii ya Mh.Dkt. Lucas Webiro; Kiongozi wa Kanda ya ziwa Mashariki-CHADEMA ,Mlezi wa Jimbo la Bunda Mjini,Mwanaharakati wa CHADEMA,Kada wa CHADEMA na ni Jembe la Bunda Mjini ,Songambele Kamanda Uhuru unakuja kwa Wanabunda, Mungu Tusaidie.
=== Updates za mkutano =====
Madhumuni ziara ya Dkt.Lucas Webiro wa CHADEMA yatakuwa ni kuwapatia nguvu wananchi na shauku ya kushiriki katika kupigania uchumi na maisha ya kila siku pamoja siasa ya umma.
"CHADEMA ni Msingi" haina lengo la kuwaacha Wanabunda mbali, bali inafikiria kujenga uwezo wa chama kutoka chini hadi ngazi ya juu kwenye nafasi ya siasa,uchumi, afya na elimu ya kujitegemea na kuwatangazia wananchi kupitia nguvu ya uuma, shughuli na mipango itayotekelezeka kwa uuma, ili kuleta mafanikio makubwa katika maisha ya watu wa Bunda, kuanzia ngazi ya Shina hadi Taifa.
Naomba ushirikiano wenu katika ziara hii ya Mh.Dkt. Lucas Webiro; Kiongozi wa Kanda ya ziwa Mashariki-CHADEMA ,Mlezi wa Jimbo la Bunda Mjini,Mwanaharakati wa CHADEMA,Kada wa CHADEMA na ni Jembe la Bunda Mjini ,Songambele Kamanda Uhuru unakuja kwa Wanabunda, Mungu Tusaidie.
=== Updates za mkutano =====
KAMANDA MH.DKT. LUCAS WEBIRO ATETA NA WAZEE WA BUNDA MJINI LEO
Kwa sasa, Bunda Mjini ipo chini sana kwa sababu ya kuwa mbali sana kijiografia, kutoka Makao Makuu ya Mkoa Mara na ukosefu wa uanzishaji washughuli za maendeleo kati na baina ya wahusika na hasa wakazi Jimbo la Bunda Mjini.
Ipo haja ya kuiwezesha Bunda Mjini kupaa juu tena kama ilivyo kuwa hapo awali pengine hata zaidi. Hakuna watu wengine watakaochukua jukumu la kuiendeleza Bunda Mjini bali Wanabunda wenyewe, ambao wanapaswa kujitoa katika kuhamasisha,kukataa kuonewa na kudaganywa kila siku bila kuona mabadiliko ya kweli, kuonesha utashi wao kisiasa na kurejesha hali yao ya kujiamini ambayo kwa sasa imefifia sana.
![]()