Dr. Lucas Webiro kuhutubia Bunda Mjini leo

Dr. Lucas Webiro kuhutubia Bunda Mjini leo

CCM kwisha kazi
attachment.php

attachment.php
 
Jimbo la Bunda lipo chini ya CCM?

Lipo chini ya Rais Mtarajiwa wa 2015 Mh. Stephen Wassira.
Huyu Jamaa akiwa Rais wa Tanzania nchi yetu itapata wageni wengi, tutafaidika na fedha za kigeni

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Lipo chini ya Rais Mtarajiwa wa 2015 Mh. Stephen Wassira

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Sidhani kama Tyson anayo afya nzuri ya kumfikisha 2015, na kama akifika, basi atakuwa amelazwa ICU ya Lugalo
 
KAMANDA MH,DKT.LUCAS WEBIRO AKIHUTUBIA WAKAZI WA BUNDA MJINI LEO JIONI.
Mh.Dkt. Lucas Webiro amesema haya kwenye mkutano wa hadhara leo jioni eneo la kijiji cha salama A Kata ya salama. Vijiji vingi Bunda Mjini vina kundi kubwa la vijana ambao hawaja soma hata Elimu ya Msingi,Standard seven, Form Two and Form Four failures au kutopata kipato na uwezo wa kuendelea na masomo ambao hawana kazi, wamekata tamaa juu ya maisha yao ya mbeleni:
• Wengi wao ni kurandaranda,kukaa vijiweni bila kazi yeyote, kukaa na kunywa pombe.
• Uvutaji wa bangi,kutumiwa katika uhalifu maeneo mbalimbali, kucheza pulu isiyo na tija.
• Video show, kucheza disco na kushawishika kushiriki katika maswala ya ngono isiyo salama.
Vijana ni nguzo ya taifa,inapasa kuweka mikakati kabambe na endelevu juu ya ufumbuzi wa ajira kwa vijana hasa kutoa Fursa kwa Vijana kuwa katika vikundi ili kuwapatia nafasi kwenye shughuli wanazofanya kuwa sekta maalum kwa ajira na kutoa Elimu ya kutosha juu ya ujasiriamali sambamba na kutoa mikopo na kujitegemea, ambavyo vitawasaidia kufanya shughuli zao binafsi katika kupambana na changamoto zinazowakabili ilikuwawezesha vijana wetu kujikomboa kutoka katika ukwasi na vishawishi mbalimbali vya maisha .
 

Attachments

  • Webiro (3).JPG
    Webiro (3).JPG
    43.4 KB · Views: 54
Back
Top Bottom