Izack Mwanahapa
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 497
- 236
Utakua ulimpa 0 sasa umenogewa unajaribu kumtafuta kiujanja. Kwani hamkupeana # za simu mpaka ujitangaze humu ndani?
Umeshaniharibia siku ya leo
ni kweli meku, cunajua damu nsito kuliko maji.........kiruuu, mbowe hureee!!!!!!!!!!
acha mbulula wa dj mbowe waukane ukweli, lakini historia itawahukumu na kuwadhihirishia ukweli huu kuwa kitila ni jembe la ndani na nje ya nchi
ni jembe loliloamiwa na magamba!
alijiweka wazi wapi??????????????nadhani alifanya vema kujiweka wazi kwa kile alichokiamini na ambacho ni sahihi kwa demokrasia ya kweli hata kama ataonekana kwa sura ya usaliti kwa upande wa pili. Ni shujaa mwenye mtazamo thabiti ambao matokeo ya maono kama haya huonekana baadaye sana kwa watu wanaohukumu harakaharaka tu.