nadhani ni mapema mno kuzungumzia mwaka 2015. Ila kiukweli mkumbo ni mtu makini sana na hazina kubwa ya mawazo cdm. ndio watakaoshika uenyekiti baadae. namtakia mafanikio mema
Bora agombee, awache kupiga kelele mitaani: Anapenda siasa na anaiogopa. Aingie. Ila ajue katika kugombea kuna kushindwa na kushinda; asiangalia moja pekee.