Dr. Kitila amkana Dr. Slaa

Siku moja utajua kuwa kwa Dr Slaa uongo ni sehemu ya maisha yake ya kila siku.Zamani na mie nilikuwa kama wewe,siku moja utakuja kufahamu hili.

Uongo wa Dr Slaa ndiyo unesababisha UMEME upande kwa 78%?

Tuvulana tujinga tunapiga kimaisha lkn bado tu wapo kuisifia CCM!Matatizo haya tuliyo nayo ya watoto wetu kusomea madarasa ya nyasi hajaletwa na Mungu!
 
kwani alihojiwa na Dr. Slaa au kamati?
Dr. Slaa ni msemaji tu, halafu aliyekiripotiwa zitto kukiri kuufahamu ule waraka ni Samson Mwigamba, siyo Dr. Kitila Mkumbo.
It seems amechanganyikiwa sana.
Kisaikolojia anateseka sana.

Wewe ndio umejichanganya...Ni Dr Slaa ndiye aliyeongea na Umma kuwa Dr Kitila amekiri ndani ya kikao kuwa Zitto alikuwa anataarifiwa juu ya waraka ule.

Kumbuka:Mwigamba hakuhojiwa na kamati kuu kwa sababu ya kamati kuu kung'ang'ania kumhoji wakati wa Sabato kinyume na imani yake.
 
Uongo wa Dr Slaa ndiyo unesababisha UMEME upande kwa 78%?

Tuvulana tujinga tunapiga kimaisha lkn bado tu wapo kuisifia CCM!Matatizo haya tuliyo nayo ya watoto wetu kusomea madarasa ya nyasi hajaletwa na Mungu!

Nani kaisifia CCM?naichukia sana CCM na bila shaka nilianza kuichukia CCM ata kabla hujajua siasa ni nini LAKINI pamoja na chuki yangu hiyo lakini nautambua ukweli mchungu kuwa hii CCM Mbovu bado ni bora maradufu kuliko Chadema ya Mbowe na Slaa.Na uchaguzi wa kutoka kwenye "kibovu" kwenda kwenye "kibovu zaidi" sio uchaguzi wa mtu mwenye akili timamu.

Chadema ilikuwa na nafasi ya kujijenga kuwa tayari kutawala lakini ndio kwanza ipo busy kujidhatiti kwenye ubovu,tutaisaidiaje sasa?Tanzania itakuwa hovyo zaidi chini ya hii Chadema ya Mbowe/Slaa/Lema/Sugu/Msigwa kuliko ilivyo chini ya CCM ya Kikwete/Sitta/Membe/Mwakyembe/Magufuli.
 
Kama habari hizi ni kweli basi Dr.Slaa na Kamati kuu ya Chadema mna matatizo makubwa, na mjipime wenyewe kabla ya mwaka 2015 kama mnafaa kuitwa wanademokrasia na wana maendeleo
 

Chai wakati mi course work haisomi kabisa, joho lileee
 
lini aliwahi kuwa mkweli!???.................wote wanafiki nafiki tu.------- zao!!
 
Hata aruke nauli mía, Zitto ndiye aliratibu oasis yote. Let us wait time will tell.
 
Hata aruke mara mía, Zitto ndiye muasisi wa issue yote, tungoje time will tell
 
Mfa maji haishi kutapatapa ...naona wanahangaika tu hawa watu
 
mtu wa kufuata mkumbo wakati mwingine hakumbuki alichosema mpaka muda upite na mkumbuke yeye alikuwa mfuasi wa masalia na wasaliti si ajabu mwizi kukataa wizi wake na msaliti kukana kauli zake ndivyo walivyo
 

Zito alionyesha wazi nia ya kutaka kuwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni, kosa la kwanza, alikusudia wazi wazi kugombea Uenyekiti, la pili, na aliumbua vyama vyote vya Siasa kwa niaba ya wananchi, vilivyo amua kufanya 'ruzuku' ni pocket money !
 
Dr.Kitila, nakushauri ukame kimya kwa muda ili uweze kujitafakari na uweze kutengeneza mwelekeo wako, kwani unapojaribu kusema uongo ni hatari siku Cd zilizotekodiwa kwenye kikao zikiwa kwa hadharani utapoteza hata ile credibility ndogo uliyobakia nayo v hata wanafunzi wako watakupuuza ........
Mahojiano yake yalirekodiwa na anajua hivyo, sasa kupotosha haitakusaidia kwa hatua za sasa .
 
Hawa wahaini watateseka sana na kinachofuata wataanza kuokota makopo.
 
Things will never be the same again kwa CHADEMA. Huo ndio ukweli. Kila tukio hasi linalotokea nhuacha athari nyuma yake.
 
Ndo tatizo lenu mzinzi munamuona kama malaika, nawewe lazima uwe Shirima au Masawe.

1. Bosi wako Zitto ana miaka 37 hajaoa, amezaa mtoto nje ya ndoa- Yeye sio Mzinzi
2. Bosi wako Zitto amekuwa Naibu Katibu mkuu chademe kwa miaka zaidi ya 7- Yeye ni Njau, Massawe au Urassa

Wewe UNACHUKI na CHADEMA, Lazima utakuwa ni MHA.
Wewe una mke mmoja, hujawahi kutoka nje ya ndoa wala hujawahi kusalitiwa-WEWE SIO MZINZI.

Asante
 
Binafsi hainiingii akilini, waraka uandaliwe kwa ajili ya zitto kuwa mwenyekiti halafu yeye(zitto) asiambiwe! Huu ni uwongo wa mchana kweupe!
 

Ili miili isilalale msalabani siku ya SABATO walimuomba Pilato miguu yake ivunjwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…