Nimesoma Maelezo ya Dr namna alivyojitetea kwa kufanya ziara zake za kushtukiza.
Nimegundua yafuatayo cha kwanza kabisa Dr
Uelewa wake ni Mdogo sana katika masuala yakisheria.
Amegusia swala la sheria za kazi na amekiri kuzipitia nakujirizisha kisha kuchukua hatua.
Hapo Dr na udocta wake ameshindwa kugundua kwamba sheria hii imepitwa na wakati na si hilo tu ameshindwa kugundua ni nani anayepaswa kufunga mageti pale mtumishi anapochelewa.
Kwanin nasema imepitwa na wakati ni kwasababu wakati sheria hii inatungwa kwanza kabisa watumishi Wa umma wengi wao walikuwa wanaishi kwenye nyumba za serikali zilizo Karibu na maofisi yao.
Pili wakati sheria hiyo inatungwa hakukuwa na foleni za barabarani na mambo mengine lukuki.
Ameshindwa gundua kwamba serikali yake ndo chanzo cha haya yote.
Kwanin nasema serikal yake ndo chanzo cha haya yote ni kwasababu.
Moja wenyewe ndio walioshiriki kuuza nyumba za serikali na kuwaacha watumishi wakiishi kama kunguru mwitu.
Pili serikali yake imeshindwa kuboresha miundombinu nakutatua kero za msongamano Wa magari barabarani nk nk.
Pili Dr ameziirisha kwamba uwezo wake Wa kufikiri ni Mdogo sana kwanin nasema hivi.
Moja, Haiwezekani Leo hii unamfananisha waziri au mkurugenzi Wa taasisi na mfanyakazi Wa kawaida. Kwanin ? Kwanza kabisa mawaziri na wakurugenzi huwa hupewa usafiri na madereva.
Wengi wao hawategemei usafiri Wa daladala ambao ni kero kubwa, mfanyakazi wakawaida hata kukodi baiskeli imuwaishe kituoni hana leo hii unamfananisha na waziri au mkurugenzi ambaye amewezeshwa kwa kila kitu, kuanzia usafiri, mafuta mpaka dereva.
Pili, Leo hii ukisema unaamka SAA kumi usiku ili uwahi saa moja na nusu hapo kuna shida kidogo kwanini.
Kwanza kabisa ingempasa kujua heografia ya makazi Wa DSM ikoje,wengine wanaishi tabata, wengine gongolamboto nk huko Kuna changamoto nying sana likiwemo swala zima la vibaka, kutopata usafiri kwa wakati nk no.
Dr kama ni mtu mwenye busara na hekima angekaa na wafanyakazi wake ili ajue nin sababu ya wao kuchelewa kisha aangalie ni namna gani anaweza tatua hiyo kero na si kushtukiza au kufunga mageti.
Namfananisha na Nyumbu Wa kreta anayetazama anapokwenda na si anapotoka hata kama anapokwenda kuna simba basi atalazimisha kupita mwishowe anakuwa kitoweo kwa simba.
Nimegundua yafuatayo cha kwanza kabisa Dr
Uelewa wake ni Mdogo sana katika masuala yakisheria.
Amegusia swala la sheria za kazi na amekiri kuzipitia nakujirizisha kisha kuchukua hatua.
Hapo Dr na udocta wake ameshindwa kugundua kwamba sheria hii imepitwa na wakati na si hilo tu ameshindwa kugundua ni nani anayepaswa kufunga mageti pale mtumishi anapochelewa.
Kwanin nasema imepitwa na wakati ni kwasababu wakati sheria hii inatungwa kwanza kabisa watumishi Wa umma wengi wao walikuwa wanaishi kwenye nyumba za serikali zilizo Karibu na maofisi yao.
Pili wakati sheria hiyo inatungwa hakukuwa na foleni za barabarani na mambo mengine lukuki.
Ameshindwa gundua kwamba serikali yake ndo chanzo cha haya yote.
Kwanin nasema serikal yake ndo chanzo cha haya yote ni kwasababu.
Moja wenyewe ndio walioshiriki kuuza nyumba za serikali na kuwaacha watumishi wakiishi kama kunguru mwitu.
Pili serikali yake imeshindwa kuboresha miundombinu nakutatua kero za msongamano Wa magari barabarani nk nk.
Pili Dr ameziirisha kwamba uwezo wake Wa kufikiri ni Mdogo sana kwanin nasema hivi.
Moja, Haiwezekani Leo hii unamfananisha waziri au mkurugenzi Wa taasisi na mfanyakazi Wa kawaida. Kwanin ? Kwanza kabisa mawaziri na wakurugenzi huwa hupewa usafiri na madereva.
Wengi wao hawategemei usafiri Wa daladala ambao ni kero kubwa, mfanyakazi wakawaida hata kukodi baiskeli imuwaishe kituoni hana leo hii unamfananisha na waziri au mkurugenzi ambaye amewezeshwa kwa kila kitu, kuanzia usafiri, mafuta mpaka dereva.
Pili, Leo hii ukisema unaamka SAA kumi usiku ili uwahi saa moja na nusu hapo kuna shida kidogo kwanini.
Kwanza kabisa ingempasa kujua heografia ya makazi Wa DSM ikoje,wengine wanaishi tabata, wengine gongolamboto nk huko Kuna changamoto nying sana likiwemo swala zima la vibaka, kutopata usafiri kwa wakati nk no.
Dr kama ni mtu mwenye busara na hekima angekaa na wafanyakazi wake ili ajue nin sababu ya wao kuchelewa kisha aangalie ni namna gani anaweza tatua hiyo kero na si kushtukiza au kufunga mageti.
Namfananisha na Nyumbu Wa kreta anayetazama anapokwenda na si anapotoka hata kama anapokwenda kuna simba basi atalazimisha kupita mwishowe anakuwa kitoweo kwa simba.