PreGE2025 Dr. Kigwangalla: Kutoa baiskeli sio rushwa ni uwezeshaji

PreGE2025 Dr. Kigwangalla: Kutoa baiskeli sio rushwa ni uwezeshaji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Sijawahi kuwa natumia rushwa kushinda (uchaguzi). Sitoi rushwa, huwa nawawezesha nawa 'facilitate' kabla ya uchaguzi. Mimi ni Mbunge kuna ahadi nilitoa ahadi ya kuwapa sungusungu pikipiki kila Kata. Nilitoa ahadi labda kwa viongozi wa chama kuwapa pikipiki au baiskeli au pikipiki napeleka. Nipo katika kutimiza ahadi zangu"- Dr. Kigwangalla Mbunge Nzega Vijijini.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: Tazama Malori yakiwa na Baiskeli za Rais Samia kwa ajili ya kuzigawa kwa wapiga Kura


 
Kwa hiyo uwezeshaji unafanya karibia na uchaguzi mkuu tu?.
Aache kujipendekeza.
Tunahitaji kuwa wazalendo.
 
Sijawahi kuwa natumia rushwa kushinda (uchaguzi). Sitoi rushwa, huwa nawawezesha nawa 'facilitate' kabla ya uchaguzi. Mimi ni Mbunge kuna ahadi nilitoa ahadi ya kuwapa sungusungu pikipiki kila Kata. Nilitoa ahadi labda kwa viongozi wa chama kuwapa pikipiki au baiskeli au pikipiki napeleka. Nipo katika kutimiza ahadi zangu"- Dr. Kigwangalla Mbunge Nzega Vijijini.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: Tazama Malori yakiwa na Baiskeli za Rais Samia kwa ajili ya kuzigawa kwa wapiga Kura


Kwa nini utoe pikipiki hizo zote wakati mmoja? Ni fedha nyingi sana, kwa nini usiwaanzishie hao wananchi workshop ya kutengeneza pikipiki na spear? Maana watavua wao Samaki kuliko wewe uvue uwape hao Samaki wa muda mfupi ukiondoka wewe hawana ugali?
 
Kutoka Takrima hadi uwezeshwaji! Dunia Mimi si shuki kituo hii. Bado nipo sana.
 
Sijawahi kuwa natumia rushwa kushinda (uchaguzi). Sitoi rushwa, huwa nawawezesha nawa 'facilitate' kabla ya uchaguzi. Mimi ni Mbunge kuna ahadi nilitoa ahadi ya kuwapa sungusungu pikipiki kila Kata. Nilitoa ahadi labda kwa viongozi wa chama kuwapa pikipiki au baiskeli au pikipiki napeleka. Nipo katika kutimiza ahadi zangu"- Dr. Kigwangalla Mbunge Nzega Vijijini.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: Tazama Malori yakiwa na Baiskeli za Rais Samia kwa ajili ya kuzigawa kwa wapiga Kura


UWEZESHAJI AU UWEKEZAJI?
 
Back
Top Bottom