Tujisahihishe Tz
Platinum Member
- Nov 17, 2011
- 3,050
- 1,359
HUKUMU ya IGUNGA Leo..Kashinje Vs Kafumu,
....Kwakweli mpaka sasa hivi Mbunge wa CCM ameshindwa kumleta shahidi ambaye angetoa taswira njema kwa Ushindi wa Kafumu.
Kwani Bwana Magufuli, ambaye yeye ametajwa kwenye Kesi mara kadhaa; kwamba alikuwa akitoa Ahadi ambazo alikuwa akitoa mbele ya Jukwaa.. kwa hali hiyo Mgombea Wa Chadema anasema alikuwa anatoa Kama Nani? Waziri au mpiga Debe wa CCM?
Kwakweli Kesi imekaa patamu sana...kama Haki ikitendeka ...Basi Jimbo tutalajie kuwa Wazi katika Hukumu ya Leo..!!!
=======
UPDATES
=======
Magari ya polisi, gari la maji washa, naona ndo yanawasili hapa mahakamani, ila bado hatujaingia ndani ya ukumbi wa mahakama, pia watu bado si wengi sana.
- Mahakama imemvua ubunge Dr. Kafumu!
....Kwakweli mpaka sasa hivi Mbunge wa CCM ameshindwa kumleta shahidi ambaye angetoa taswira njema kwa Ushindi wa Kafumu.
Kwani Bwana Magufuli, ambaye yeye ametajwa kwenye Kesi mara kadhaa; kwamba alikuwa akitoa Ahadi ambazo alikuwa akitoa mbele ya Jukwaa.. kwa hali hiyo Mgombea Wa Chadema anasema alikuwa anatoa Kama Nani? Waziri au mpiga Debe wa CCM?
Kwakweli Kesi imekaa patamu sana...kama Haki ikitendeka ...Basi Jimbo tutalajie kuwa Wazi katika Hukumu ya Leo..!!!
=======
UPDATES
=======
Mrithi wa Ubunge wa Igunga mh. Dalali Kafumu leo itajulikana ama kusuka au kunyoa. Mpingaji mkuu wa kesi hiyo ni aliyekuwa mgombea wa CDM na kawaailiaha hoja 15 za kupinga ushindi huo
Magari ya polisi, gari la maji washa, naona ndo yanawasili hapa mahakamani, ila bado hatujaingia ndani ya ukumbi wa mahakama, pia watu bado si wengi sana.
Leo ni leo. Ushindi wa Kashindye kupigwa tena mnada na Dalali? Watu wameshajaa Mahakamani tangu saa 12 asubuhi. Hukumu kuanza kusomwa saa 3 hii. Ni CHADEMA na CCM...
- Mahakama imemvua ubunge Dr. Kafumu!
Baada ya hukumu kutolewa Igunga wananchi wa Igunga wameripuka kwa furaha na nderemo na kuzunguka katika viunga vya mji huu huku wakiimba nyimbo za kuipongeza CDM na kumpongeza Magufuri kwa kusaidia ushindi huu.
![]()
![]()
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Igunga amefunguka na kusema kuwa hakuwa na imani na jaji kwa kuwa aliegemea upande wa CHADEMA na matokeo yake ameipa CHADEMA ushindi.
Dk. Kafumu ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa yeye siyo mbunge tena na ataendelea na kazi yake ya utafiti wa madini.
Source: EATV