Hata awe mzuri vipi mfumo wa ccm Hata umlete malaika, akirudi lazima aitwe ibilisi!
Mtalaaum Wa Kukalili Na Kuongopa, Utasikia Ziwa Tanganyika Lina Samaki Wenye Mimba Tilion Tisa Sabini Na Nne Elfu Mianane Sitini Na Mbili, Kanzania Inakondoo Milioni Kumi Na Saba Na Laki Mbili Mianne Sabini, Kuku, Mbuzi, Ng'ombe, Vipepeo. Watu Sisimizi, Watu Pwapwapwapwapwa,
Hiv ile nyumba ya serikali alio muhonga Dem wake nayo CCM wameshindwa kumnyanganya? Pombe kwa Andasi za kukgegeda noma sanaa. UKAWA ndio Sisi Pamoja sana Kamanda Lowassa.
kwahyo magufuli ni fisadi ila lowasa sio fisadi..
Tuonane oct
Kaka hujui hata kufananisha raisi na mtu wa kawaida? Hivi kweli huyo magufuli anavigezo gani mbelw ya lowassa?acha utani ww mlimkata jina sasa subirini na nyie kukatwaIli kuleta maendeleo na amani lazima kuwepo na umoja,na ili kuleta maendeleo lazma awepo mtu mchapakazi,mwadilifu na asiyekuwa mwoga.
ili kuleta umoja na amani lazma awepo mtu asiyefungamana na upande wowote,mtu asiyekuwa na makundi nyuma yake...
Mtu asiyekuwa na roho ya kulipiza visasi na kupendelea kikundi fulani cha watu..
Mtu asiye na element yeyote ya ukabila...
Dr.magufuli hana kundi lolote nyuma,hatumii fedha katka kusaka uongozi kama jinsi wafanyavyo wengne..
Hana uchu wa madaraka,Ana political torelance,
Dr. Magufuli katka kila wizara aliyoiongoza performance yake imekuwa kubwa maradufu..
Kama jinsi waswahili wanavyosema"kila anayetenda mema hulipwa kwa wema"Mungu ameona utendaji na roho ya kujitolea ya Magufuli dhidi ya taifa hili..
Ameona anafaa kabsa kuwaletea Watanzania maendeleo kupitia uchapakazi wake,Mungu ameamua kumlipa kwa wema Dr.magufuli amempa nafasi muhimu na ya kipekee kabsa ya wakuwaongoza watanzania,no one knew that magufuli will become.
The president..its GOD..LET US ALL STAND TOGETHER AND SUPPORT THIS GOOD WISH FROM OUR ALMIGHTY ALLAH..!!REGARDLESS OF OUR IDEOLOGIES & PARTIES..
DR. MAGUFULI THE BEST CHOICE OF TANZANIANS.
.......Eti kauza nyumba za serikali na ile ya Msasani aliohonga mchepuko wake! chezea "KIDEVU" wewe!
hafai hafai hata kuwa mwenyekiti wa mtaa...
Wizara alizoziongoza alikuwa nje ya mfumo au..?mbona ameperfom vizr sana...bahati nzur saiz atakuwa juu ya mfumo hivyo Ana nafas kubwa ya kuboresha to the maximum....
MAGUFULI THE BEST CHOICE OF TANZANIANS[/QUOTE
mfumo wa kutetea na kuwalinda wala rushwa
Ili kuleta maendeleo na amani lazima kuwepo na umoja,na ili kuleta maendeleo lazma awepo mtu mchapakazi,mwadilifu na asiyekuwa mwoga.
ili kuleta umoja na amani lazma awepo mtu asiyefungamana na upande wowote,mtu asiyekuwa na makundi nyuma yake...
Mtu asiyekuwa na roho ya kulipiza visasi na kupendelea kikundi fulani cha watu..
Mtu asiye na element yeyote ya ukabila...
Dr.magufuli hana kundi lolote nyuma,hatumii fedha katka kusaka uongozi kama jinsi wafanyavyo wengne..
Hana uchu wa madaraka,Ana political torelance,
Dr. Magufuli katka kila wizara aliyoiongoza performance yake imekuwa kubwa maradufu..
Kama jinsi waswahili wanavyosema"kila anayetenda mema hulipwa kwa wema"Mungu ameona utendaji na roho ya kujitolea ya Magufuli dhidi ya taifa hili..
Ameona anafaa kabsa kuwaletea Watanzania maendeleo kupitia uchapakazi wake,Mungu ameamua kumlipa kwa wema Dr.magufuli amempa nafasi muhimu na ya kipekee kabsa ya wakuwaongoza watanzania,no one knew that magufuli will become.
The president..its GOD..LET US ALL STAND TOGETHER AND SUPPORT THIS GOOD WISH FROM OUR ALMIGHTY ALLAH..!!REGARDLESS OF OUR IDEOLOGIES & PARTIES..
DR. MAGUFULI THE BEST CHOICE OF TANZANIANS.