Endeleeni kujitenkenya na kucheka wenyewe. Haitakaa itokee. Sitatoa ahadi kama za manabii fulani. Lakini haitatokea. The guy is inept and incompetent. Na kama mnadhani watu duniani hawajui, then hamjaisoma dunia sawasawa. Angalia jinsi ghafla Bwana Pombe alivyopata washabiki duniani..Wazee wa kuzungusha na wazee wa kukurupuka watakufa kwa wivu.
Africa nafasi yao ilishapita ni zamu ya marekani ulaya hivyo kama una mahaba na Kikwete pole!PEOPLE: DON'T BE SURPRISED IF THIS COMES TO PASS:
A. Pointers:
1. HONORABLE RETIRED PRESIDENT OF TANZANIA - ONE OF AFRICA'S MOST STABLE DEMOCRACIES
2. FORMER CHAIRPERSON - AFRICAN UNION
3. INTERNATIONAL DIPLOMAT & LONG SERVING FOREIGN AFFAIRS MINISTER
4. EMINENT ADVOCATE - NEPAD (NEW PARTNERSHIP FOR AFRICAN DEVELOPMENT)
5. INTERNATIONAL CONFLICT RESOLUTION - SUPPORT TO THE COMOROS & NOW AU ENVOY TO LIBYA
6. INTERNATIONAL AWARD WINNING PERFORMER
- MATERNAL & CHILD HEALTH
- ANTI - MALARIA
7. HOST TO 2 SITTING US PRESIDENTS - GEORGE BUSH & BARRY OBAMA
8. WIDELY TRAVELED - HAS VISITED ALMOST 1/4 OF COUNTRIES IN THE WORLD
B. PERSONAL ATTRIBUTES:
- LIBERAL (NON RADICAL)
- PROGRESSIVE THINKER
AND A LOT MORE QUALIFICATIONS ..........THINK ABOUT THIS!
Africa nafasi yao ilishapita ni zamu ya marekani ulaya hivyo kama una mahaba na Kikwete pole!
Ban ki Moon anaondoka muda wake unaisha,kumbuka yeye kuwa pale alipo Tanzania ndiyo kura pekee ilisubiriwa ili awe SG na kipindi hicho Kikwete akiwa Waziri Ban ki Moon alikuja Tanzania kuomba kura akiwa waziri wa mambo ya nje korea kusini na alikuwa na urafiki na Kikwete walipoenda NY Tanzania ikampa kura na akapita na kuwa SG zawadi ya kwanza nikumpa Dr A Migiro hivyo kumpa rafiki yake teuzi hizi ni fadhila pia huwezi kutoka cheo cha Urais ukaenda kugombea UN SG ni kushuka na sikupanda!Ingetosha kutoa elimu ya mzunguko wa uteuzi wa Sec Gen UN bila kionjo cha "mahaba".
Point is: kwa mwenendo wa uteuzi huo ni watu wenye sifa gani wanaofikiriwa kuwa Katibu Mkuu?
MTK, what do you want to insinuate here...hate or what? JK is the world class diplomat and that is the bottom line...Call it a hiatus not a resolution; it is a simmering issue; at best JK had to abandon his position; a humiliation of sorts that does not make a world class diplomat; huyu mwacheni ashughulike na malaria, wanawake na watoto na "matezi dume"; mambo mazito hayawezi, he suffers from a lethal "seriousness gene deficiency syndrome"!!
sizani kama JK kazi ya UN secretary General inaweza kumshinda...experience anayo na kuna watu wengi wanafanya kazi in background and then yeye anabaki kuwa mtu wa mwisho kumalizia. I hope wapo washauri wa Secretary General, kwani hata Ban-ki moon hajafanya lolote la maana...failure zilikuwa nyingi kuliko success..Hapa tu yalimshinda huko si kitakuwa kichekesho.
Jerry Muro kabisa, apewe kazi ikulu ya wapi hiyo!?! Aibu tupu na haitakaa itokee kwa sababu Muro anahitaji counselling ya hali ya juu kabla ya kuajiriwa na mtu yoyHongera Gerson Msigwa kuwa mkurugenzi wa habari ikulu, hongera Jerry Muro kuwa msaidizi wake, Mungu awatangulie Kwenye utumishi wenu.
Credible sources please
MTK, what do you want to insinuate here...hate or what? JK is the world class diplomat and that is the bottom line...