ng'ombo
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 418
- 619
Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete pichani akitoa mkono wa pole jana kwa wafiwa, ndugu, jamaa na marafiki kwenye msiba wa aliyekuwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu nyumbani kwake Tabata Kimanga jijini hapa Dar. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI.