Dr. Hoseah atalipwa stahiki zake?

Dr. Hoseah atalipwa stahiki zake?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,154
Reaction score
162,570
Navyojua ni kuwa, mtumishi wa umma akifukuzwa kazi,basi kuna haki zake ambazo huzipoteza.

Je,Dr.Hoseah, kama mtumishi wa umma,nae hatolipwa baadhi ya stahiki zake?

Kama atalipwa, je,itakuwa ni sahihi kuamini kuwa katimuliwa?

Nini hasa maana ya kutengua uteuzi wa mtu?
 
Jaman huyu mtu ajafukuzwa kaz ila rais amaetengua uteuz wake kama mkurugenzi wa PCCB
 
Kutengua uteuzi maana yake arudi kwenye kazi yake ya zamani... hivo basi stahiki zake atalipwa mkuu....
 
Navyojua ni kuwa,mtumishi wa umma akifukuzwa kazi,basi kuna haki zake ambazo huzipoteza.

Je,Dr.Hoseah,kama mtumishi wa umma,nae hatolipwa baadhi ya stahiki zake?

Kama atalipwa, je,itakuwa ni sahihi kuamini kuwa katimuliwa?

Alishajilipa Siku Nyingi Tu.
 
Huyu hajafukuzwa kazi...
Uteuzi wake umetenguliwa...
Ivyo haki zake kama muajiriwa zipo pale pale..
Ila labda wataalam watujuze je anaweza kupangiwa kazi nyingine??
Maana kwa mfano Hosea ana 57yrs ivyo alikuwa bado ana miaka 3 atimize 60yrs ya umri wa kustaafu wa lazima.
 
Navyojua ni kuwa,mtumishi wa umma akifukuzwa kazi,basi kuna haki zake aibu azo huzipoteza.

Je,Dr.Hoseah,kama mtumishi wa umma,nae hatolipwa baadhi ya stahiki zake?

Kama atalipwa, je,itakuwa ni sahihi kuamini kuwa katimuliwa?

Nini hasa maana ya kutengua uteuzi wa mtu?

Uwe unasoma kwa umakini na kisha utafakari. Dr Hoseah hajafukuzwa kazi, ila uteuzi wake umetenguliwa. Na hivyo bado ni mtumishi wa serikali kama kawaida
 
Huyu hajafukuzwa kazi...
Uteuzi wake umetenguliwa...
Ivyo haki zake kama muajiriwa zipo pale pale..
Ila labda wataalam watujuze je anaweza kupangiwa kazi nyingine??
Maana kwa mfano Hosea ana 57yrs ivyo alikuwa bado ana miaka 3 atimize 60yrs ya umri wa kustaafu wa lazima.

Atapewa ofisi ina meza na kiti kimoja na hatapewa job description ya kazi hiyo,atakuwa anaingia adubuhi na kutoka jioni na wala hakuna hata mtu atayekuwa anaenda ofcn kwake mpaka aache kazi mwenyewe
 
Navyojua ni kuwa,mtumishi wa umma akifukuzwa kazi,basi kuna haki zake ambazo huzipoteza.

Je,Dr.Hoseah,kama mtumishi wa umma,nae hatolipwa baadhi ya stahiki zake?

Kama atalipwa, je,itakuwa ni sahihi kuamini kuwa katimuliwa?

Nini hasa maana ya kutengua uteuzi wa mtu?
Khaa!! Kazi ya kuomba ndiyo unaweza kufukuzwa na ukapewa sababu za kufukuzwa na unaweza kupinga, lakini kazi ya kuteuliwa huwa uteuzi unatenguliwa wakati mwingine bila hata sababu na hauwezi kupinga
 
Atapewa ofisi ina meza na kiti kimoja na hatapewa job description ya kazi hiyo,atakuwa anaingia adubuhi na kutoka jioni na wala hakuna hata mtu atayekuwa anaenda ofcn kwake mpaka aache kazi mwenyewe
Hahaaaa haahaaaaa
Vp magazeti atapewa??
 
Atanunua kwa pesa yake tena atakua anasoma magezeti ya udakuuuuuuu
 
uwe unasoma kwa umakini na kisha utafakari. Dr hoseah hajafukuzwa kazi, ila uteuzi wake umetenguliwa. Na hivyo bado ni mtumishi wa serikali kama kawaida

jamani nyie vipi?.. Dr. Hosea ametenguliwa kwa kashfa hivyo kitachofuata ni mahakamani...huko ndio itajulikana kama atapata haki zake au laa!
 
Hapa huenda tukachanganyana tu, tufahamu kuwa taasisi zote za serikali uongozi wake huwa wa miaka minne minne na mkurugenzi anaweza kuhudumu kwa miaka isiyozidi 8. Hivyo, huenda Hosea anaangukia ktk kipindi hicho. Siyo yeye tu hivi karibuni ninachofahamu ni kwamba mabadiliko mengine yatatokea kwa Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu n.k
 
Kwa mfano waziri ame under perform na rais kamtoa kwenye hiy nafasi hiv hua inakuaje? Ninavyo faham hiyo nafasi sio ya kuomba na wala hakunaga interview, ni presidential appointment kama waziri, mkuu wa mkoa nk!
 
Navyojua ni kuwa,mtumishi wa umma akifukuzwa kazi,basi kuna haki zake ambazo huzipoteza.

Je,Dr.Hoseah,kama mtumishi wa umma,nae hatolipwa baadhi ya stahiki zake?

Kama atalipwa, je,itakuwa ni sahihi kuamini kuwa katimuliwa?

Nini hasa maana ya kutengua uteuzi wa mtu?

Hajafukuzwa kazi, ni uteuzi tu uliotenguliwa
 
jamani nyie vipi?.. Dr. Hosea ametenguliwa kwa kashfa hivyo kitachofuata ni mahakamani...huko ndio itajulikana kama atapata haki zake au laa!
Teuzi ngapi zimetenguliwa na wahusika hawakupelekwa mahakamani? Kwa hili la Hosea tungoje tuone kama kuna hatua za ziada zitakazochukuliwa na JPJM. Tuache ku-speculate.
 
Back
Top Bottom