Dr Hellen Kijo Bisimba: Mialiko ya hovyo usiikubali

Dr Hellen Kijo Bisimba: Mialiko ya hovyo usiikubali

KALABASH

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2011
Posts
500
Reaction score
216
Mama Bisimba: Leo asubuhi ulikuwa katika mjadala wa kisiasa Star Tv.

Hata kabla ya mjadala kuanza nilishangaa uwepo wako pale kutokana na utambulisho uliotolewa kuhusu panelists wenzako waliokuwapo pale.

Sikushangaa kuwa baada ya muda mfupi tuliambiwa kuwa umepata udhuru na umeaga na kuwaacha waliobaki waendelee.

Kwa hadhi yako ni vizuri ukawa unachagua mialiko ya kwenda kuchangia hasa ukizingatia ni nani mwendesha kipindi na ni nani washiriki wa mjadala.

Vipindi vingi vya mijadala ya kisiasa vya Star tv ni vyepesi mno na waendeshaji wa vipindi ni "mediocre".
 
Nimeona 'Hellen' na 'mialiko ya ovyo'
nikajikuta nimesoma 'mikao ya ovyo' nikaenda mbali kabisa dah...
 
Kuna Kijana leo Nimemwona StarTV Kwenye Hiki Kipindi"Kuelekea Uchaguzi Mkuu October", Kijana Huyu Nilimwona Dodoma Pia Akiwa

Amesimama Nyuma/MgongoniK Karibu Na Nape Siku Alipokuwa Akisoma Majina ya Wagombea 5 Baada ya Kumfanyia Unyama Lowassa.

Huyu Kijana Nadhani Uelewa wake Ni Mdogo Sana, Kwenye Kipindi Cha Asbh Anasema Bila CCM Hakuna Tanzania, Nimemshangaa Sana

Huyu Kijana.Huu Ni Ujinga Kuweza Kudhani Hivyo. Watanzania wa leo Wanaamini Bila CCM Nchi yetu Ni Salama zaidi ya Ilivyosasa.

Kijana huyu Anasahau Escrow,Madawa ya Kulevya,Twiga Hai Kupanda Ndege, Epa, Meremeta,Operation Tokomeza, Elimu

Mbovu,Ukosefu wa Madawa hospitalini, Madini yanavyochukuliwa almost bure, Mauaji la albino, Akina mama kulala Mzungu 4 Wakati wa Kujifungua...NK....

Kwa Waliopata kuangalia Kipindi Kile Niungane na wewe Dr. Hellen Bisimba Hasirudie Kufanya Kosa Lile Kwa Maana Heshima yake iko

Juu,Kiasi Kushiriki Ushahabiki Ule wa Waziwazi.
 
Mama Bisimba: Leo asubuhi ulikuwa katika mjadala wa kisiasa Star Tv. Hata kabla ya mjadala kuanza nilishangaa uwepo wako pale kutokana na utambulisho uliotolewa kuhusu panelists wenzako waliokuwapo pale. Sikushangaa kuwa baada ya muda mfupi tuliambiwa kuwa umepata udhuru na umeaga na kuwaacha waliobaki waendelee. Kwa hadhi yako ni vizuri ukawa unachagua mialiko ya kwenda kuchangia hasa ukizingatia ni nani mwendesha kipindi na ni nani washiriki wa mjadala. Vipindi vingi vya mijadala ya kisiasa vya Star tv ni vyepesi mno na waendeshaji wa vipindi ni "mediocre"
Mshaurini ahudhurie ile misliko ya mtaa wa Ufipa.
Na kila akimaliza kutoa hoja aimbe "piiiiipooooozzzzz"!
 
Huyu mama kuna wakati simuelewagi kabisa, wakati mwingine anaonyesha wazi ni mshabiki wa kisiasa
 
TV Stations za Tanzania ni vema wawaige wenzao Kenya na Uganda ambao hufanya yafuatayo kwenye mijadala "live" kwenye:
- Wazungumzaji lazima wajikite kwenye mada na siyo vinginevyo;
- Wazungumzaji ni wanataaluma kwenye mada zinazohusika/jadiliwa;
- Wazungumzaji hawaruhusiwi kutoa tuhuma au kauli za kuwatusi watu wasiokuwepo bila ushahidi (sweeping statements)
- Wazungumzaji waeleze maslahi yao (declare interest) katika masuala yanayohusika.

Kwa kufanya hivyo ni kuwatendea haki wafuatiliaji wa mijadala na kuonesha weledi. Ilivyo sasa mijadala mingi ni sawa na porojo za vijiweni na kupiga kampeni kinyume cha taratibu.
 
Back
Top Bottom