Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Mkuu sijui kama kuna kusahihisha pale!! Kama hatuwezi lugha za wenzetu tutumie tu hiki kimatumbi, tutajiepusha na mengi!
Hata hii lugha yetu ya kimatumbi kuna wakati inatutingisha,cha msingi tusaidiane kuboresha lugha.