byembalilwa
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 2,034
- 918
dini yangu
Ha haa! Ana nyota ya second selection... Fatilia hata sekondary ukute alifeli ila akachaguliwa second selection...Nyumba yake iliyopo Ufukweni haitobomolewa tena!
Waziri wa Mazingira wakat wa Jk aliejaribu kutaka kuvunja lile Hekalu yakafanyika Marekebisho kidogo 'akatupisha'
January nae kwny hii awamu ya Tano alijaribu kurusha Miguu akaishia kuwavunjia wale wa Jangwani na Bonde la Mkwajuni!
Siku zote huchukua Ubunge kutokana na Matukio yasiyo ya kawaida
2006 alipata Ubunge wa Viti Maalum baada ya Kifo cha Amina Chifupa, 2017 baada ya Kutimuliwa Sophia Simba
Ha haa! Ana nyota ya second selection... Fatilia hata sekondary ukute alifeli ila akachaguliwa second selection...
Mkuu SADOCK NJIGINYA ndilo jina lako halisi auAkafanye kazi ...... aliyenacho ataongezewa
Mkuu we utateuliwa linibavicha mnawivu mpaka viti maalum mnataka mteuliwe nyie.
Umeanza kufwatilia siaasa lini mkuu???Alikuwa Kada kumbe?
Mwenye nacho huongezewaUle msemo wa kuwa bahati haiji mara mbili leo umefutiliwa mbali baada ya Dr. Getrude Lwakatare kuteuliwa kwa mara ya pili kuwa mbunge wa viti maalum kujaza nafasi ya mama Sofia Simba aliyevuliwa uanachama wa CCM na hivyo nafasi kuwa wazi.
Hayo yamesemwa na mkurugenzi wa tume ya uchaguzi ndg. Kailima.
Ikumbukwe kuwa kwa mara ya kwanza Lwakatare alipata bahati kama hiyo ktk serikali ya awamu ya nne.
Sikumbuki sana ila tangu kipindi kile akiwa mbunge wa viti maalum.Umeanza kufwatilia siaasa lini mkuu???
Hahah wanatafuta waumini wake wajiunge na cccm Siasa mchezo wa ibilisi!
ingefaa ampe mwanachama mwingine hiyo nafasi maana wala hachangii kitu bungeni.Mtu ana kila kitu lakini bado mbunge wa viti Maalum hii ni aibu
Sasa mbona unauliza kama ni kada. Hapo ndo nimeshangaa kama alikua ni mbunge automatic ni kada. Super sub ya CCM.Sikumbuki sana ila tangu kipindi kile akiwa mbunge wa viti maalum.
Karibu mkuu