Dr Dau wa NSSF kwenye TBC1: Aweka records straight

MrNSSF

Senior Member
Mar 17, 2011
136
73
Hii haihusini na thread ta Viwanja . Maswali na mambo mengi ambayo mlitaka kuyajua juu ya NSSF kaelezea juu ya :
UMEME PROGRESS
DARAJA LA KIGAMBONI
MICHANGO AMBAYO INAKUSANYA SASA HIVI
INVESTMENTS
DIASPORA





 
Last edited by a moderator:
Thanks for the videos

tatizo langu na huyu mheshimiwa ni hii kuvaa mikanzu na baragashia.

Hivi kuna umuhimu gani kuvaa hivyo?

whats so wrong na kuvaa suti ya kawaida kama wenzie wa PPF na kwingineko?

mtu anaenda kudiscuss vitu serious, jamaa anaamua kuvaa kanzu na vikofia visivyomtosha

amefanya hivyo wakati anapokea zawadi 77 tena toka kwa makamo wa rais

leo anafanya hivyo hivyo kwenye matangazo ya TV yanayosikilizwa Tanzania nzima

the man is either just arrogant au anatafuta ugomvi na watu tuuu
 
tuache ushabiki wa kichama na itikadi za kiimani these man ni Jembe bana, ona NSSF alipoifikisha leo imagine na pale alipoitoa, unaweza fananisha na hifadhi nyingine ya jamii inayoshindana nae?

yeye na Kimei they are working bana
 
Thanks for the videos

tatizo langu na huyu mheshimiwa ni hii kuvaa mikanzu na baragashia.

Hivi kuna umuhimu gani kuvaa hivyo?

whats so wrong na kuvaa suti ya kawaida kama wenzie wa PPF na kwingineko?

mtu anaenda kudiscuss vitu serious, jamaa anaamua kuvaa kanzu na vikofia visivyomtosha

amefanya hivyo wakati anapokea zawadi 77 tena toka kwa makamo wa rais

leo anafanya hivyo hivyo kwenye matangazo ya TV yanayosikilizwa Tanzania nzima

the man is either just arrogant au anatafuta ugomvi na watu tuuu

Tatizo lako nini kwenye mavazi? Unavyodhani ni kuwa mtu hawezi kuzungumza mambo serious kwa sababu hajavaa suti au?
 
Thanks for the videos

tatizo langu na huyu mheshimiwa ni hii kuvaa mikanzu na baragashia.

Hivi kuna umuhimu gani kuvaa hivyo?

whats so wrong na kuvaa suti ya kawaida kama wenzie wa PPF na kwingineko?

mtu anaenda kudiscuss vitu serious, jamaa anaamua kuvaa kanzu na vikofia visivyomtosha

amefanya hivyo wakati anapokea zawadi 77 tena toka kwa makamo wa rais

leo anafanya hivyo hivyo kwenye matangazo ya TV yanayosikilizwa Tanzania nzima

the man is either just arrogant au anatafuta ugomvi na watu tuuu

Mie nina allergy na suti kwani inawakilisha msalaba je nichukie kila mtu anayevaa suti? Udini unawaumiza watu wengine hadi basi. Kanzu na kofia ni vazi la ofisini la watu wa pwani limo katika dress code ya serikali kamuulize mheshimiwa mbowe kwanini alivaa bungeni kama wewe hupendi usivae lakini wengine wanavaa. Hongera Dr Dau kwa kazi nzuri.
 
mfumo kristo bwana, eti mtu analaumu kanzu ma kofia! wakati nyinyi mnatuvalia misalabba mikubwaa kama nondo maofisini na bado maisha yanaendelea acheni udini wa ki..nge!
 
Ni el shabab, ingia nssf makao makuu utadhani uko iran!

enheeeee.....mtu kila kukicha na mijikanyu tuu

mbona havai kofia za kumtosha kichwa?

hivi mwongozo wa utumishi unasemaje kuhusu mavazi?

mie huyu ananiudhi na huu uswahili uswahili wake kwenye mambo serious
 
Mie nina allergy na suti kwani inawakilisha msalaba je nichukie kila mtu anayevaa suti? Udini unawaumiza watu wengine hadi basi. Kanzu na kofia ni vazi la ofisini la watu wa pwani limo katika dress code ya serikali kamuulize mheshimiwa mbowe kwanini alivaa bungeni kama wewe hupendi usivae lakini wengine wanavaa. Hongera Dr Dau kwa kazi nzuri.

Kajaribu kuingia UN huku umejitwika gubigubi kama utanusa pua humo. Ni huyu Jk ndo anawadekeza, Bunge sio Msikiti, hey Plz.
 
Ni el shabab, ingia nssf makao makuu utadhani uko iran!
Huoni 21 century unaongea utumbo kihivi ? Unam'judge m2 kupitia mavazi? Umefilickaje points za ku'share! Kuvaa suti & tai ww ndy unaona ndy maendeleo? Ukivaa kanzu material kichwani yanakua everpourated?
 
Thanks for the videos

tatizo langu na huyu mheshimiwa ni hii kuvaa mikanzu na baragashia.

Hivi kuna umuhimu gani kuvaa hivyo?

whats so wrong na kuvaa suti ya kawaida kama wenzie wa PPF na kwingineko?

mtu anaenda kudiscuss vitu serious, jamaa anaamua kuvaa kanzu na vikofia visivyomtosha

amefanya hivyo wakati anapokea zawadi 77 tena toka kwa makamo wa rais

leo anafanya hivyo hivyo kwenye matangazo ya TV yanayosikilizwa Tanzania nzima

the man is either just arrogant au anatafuta ugomvi na watu tuuu

Hujui tu, lakini una matatizo makubwa sana ndugu yangu!!!
 
enheeeee.....mtu kila kukicha na mijikanyu tuu

mbona havai kofia za kumtosha kichwa?

Hivi mwongozo wa utumishi unasemaje kuhusu mavazi?

Mie huyu ananiudhi na huu uswahili uswahili wake kwenye mambo serious

huyu mswahili ww mzungu! Pum**vu
 
Msimlaumu sana inawezekana alitoka kwenye baraza la Iddi

hata kama hakutoka kwenye baraza la ead .. mavazi yake yanawakerea vipi..?! au walitaka angevaa bukta ! kuna thread moja alipokuwa sabasaba watu walimshambulia hivhivi... mtu anavaa vile anavyokisikia as long havunji sheria bana
 
enheeeee.....mtu kila kukicha na mijikanyu tuu

mbona havai kofia za kumtosha kichwa?

hivi mwongozo wa utumishi unasemaje kuhusu mavazi?

mie huyu ananiudhi na huu uswahili uswahili wake kwenye mambo serious

Kwani muswada wa utumishi unasemaje? Kanzu sio vazi la ofisini? Linsingelikuwa vazi la ofisini akina Zitto na Mbowe wangelivaa bungeni?
 
Back
Top Bottom