Thanks for the videos
tatizo langu na huyu mheshimiwa ni hii kuvaa mikanzu na baragashia.
Hivi kuna umuhimu gani kuvaa hivyo?
whats so wrong na kuvaa suti ya kawaida kama wenzie wa PPF na kwingineko?
mtu anaenda kudiscuss vitu serious, jamaa anaamua kuvaa kanzu na vikofia visivyomtosha
amefanya hivyo wakati anapokea zawadi 77 tena toka kwa makamo wa rais
leo anafanya hivyo hivyo kwenye matangazo ya TV yanayosikilizwa Tanzania nzima
the man is either just arrogant au anatafuta ugomvi na watu tuuu
Thanks for the videos
tatizo langu na huyu mheshimiwa ni hii kuvaa mikanzu na baragashia.
Hivi kuna umuhimu gani kuvaa hivyo?
whats so wrong na kuvaa suti ya kawaida kama wenzie wa PPF na kwingineko?
mtu anaenda kudiscuss vitu serious, jamaa anaamua kuvaa kanzu na vikofia visivyomtosha
amefanya hivyo wakati anapokea zawadi 77 tena toka kwa makamo wa rais
leo anafanya hivyo hivyo kwenye matangazo ya TV yanayosikilizwa Tanzania nzima
the man is either just arrogant au anatafuta ugomvi na watu tuuu
Ni el shabab, ingia nssf makao makuu utadhani uko iran!
Ni el shabab, ingia nssf makao makuu utadhani uko iran!
Tatizo lako nini kwenye mavazi? Unavyodhani ni kuwa mtu hawezi kuzungumza mambo serious kwa sababu hajavaa suti au?
Mie nina allergy na suti kwani inawakilisha msalaba je nichukie kila mtu anayevaa suti? Udini unawaumiza watu wengine hadi basi. Kanzu na kofia ni vazi la ofisini la watu wa pwani limo katika dress code ya serikali kamuulize mheshimiwa mbowe kwanini alivaa bungeni kama wewe hupendi usivae lakini wengine wanavaa. Hongera Dr Dau kwa kazi nzuri.
Huoni 21 century unaongea utumbo kihivi ? Unam'judge m2 kupitia mavazi? Umefilickaje points za ku'share! Kuvaa suti & tai ww ndy unaona ndy maendeleo? Ukivaa kanzu material kichwani yanakua everpourated?Ni el shabab, ingia nssf makao makuu utadhani uko iran!
Kajaribu kuingia UN huku umejitwika gubigubi kama utanusa pua humo. Ni huyu Jk ndo anawadekeza, Bunge sio Msikiti, hey Plz.
Thanks for the videos
tatizo langu na huyu mheshimiwa ni hii kuvaa mikanzu na baragashia.
Hivi kuna umuhimu gani kuvaa hivyo?
whats so wrong na kuvaa suti ya kawaida kama wenzie wa PPF na kwingineko?
mtu anaenda kudiscuss vitu serious, jamaa anaamua kuvaa kanzu na vikofia visivyomtosha
amefanya hivyo wakati anapokea zawadi 77 tena toka kwa makamo wa rais
leo anafanya hivyo hivyo kwenye matangazo ya TV yanayosikilizwa Tanzania nzima
the man is either just arrogant au anatafuta ugomvi na watu tuuu
enheeeee.....mtu kila kukicha na mijikanyu tuu
mbona havai kofia za kumtosha kichwa?
Hivi mwongozo wa utumishi unasemaje kuhusu mavazi?
Mie huyu ananiudhi na huu uswahili uswahili wake kwenye mambo serious
Msimlaumu sana inawezekana alitoka kwenye baraza la Iddi
enheeeee.....mtu kila kukicha na mijikanyu tuu
mbona havai kofia za kumtosha kichwa?
hivi mwongozo wa utumishi unasemaje kuhusu mavazi?
mie huyu ananiudhi na huu uswahili uswahili wake kwenye mambo serious