Kuchasoni Kuchawangu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 603
- 340
Wajumbe wa mkutano wa uchaguzi CCM wilaya ya Igunga wamemchagua Dr Dalaly Peter Kafumu kuwa mjumbe wa Nec kupitia wilaya ya Igunga. Uchaguzi ambao umefanyika jana katika ukumbi wa Nkinga mission hospital. Dr Kafumu alikuwa akichuana na Mwenyekiti wa halmashauri ya Igunga na Diwani wa kata ya Ndembezi bwana Abubakar pamoja na mama Ngesi.