Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
Wadau hayo maneno aliyasema wakati akihojiwa na Tido Mhando katika kipindi cha funguka!Bahati mbaya JF haikuwa hewani!
Swali no je,yeye ni mbunge wa jimbo gani?Maana mwenyekiti wake amezuia watu wengine tofauti na wabunge kufanya mikutano ya hadhara,na zaidi hao wabunge wafanye kwenye maeneo yao ya jumbo na ni marufuku kuleta mzungumzaji kutoka nje!
Nawaza tu kwa sauti!!!!!!!
Swali no je,yeye ni mbunge wa jimbo gani?Maana mwenyekiti wake amezuia watu wengine tofauti na wabunge kufanya mikutano ya hadhara,na zaidi hao wabunge wafanye kwenye maeneo yao ya jumbo na ni marufuku kuleta mzungumzaji kutoka nje!
Nawaza tu kwa sauti!!!!!!!