Lucas philipo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,034
- 2,657
Nonsense! Wewe ni Dr wa wapi??? Huenda Udsm umeisikia tu ungekuwa umewahi kuwa bonafide student au graduate sina hakika kama ungejibu kama member wa kutoka au kuwahi kusoma pale!! Hata hvyo bado unaamini ktk ujumla wa mambo!! Unamansha nini kwanza kugeneralize kuwa Udsm dr una doubt nao??? Unaijua historia ya Udsm??? Ulichomanisha hapa mkuu ni kwamba wa Udsm ni feki hebu tuambie Original drs ni wa kutoka wapi??????? Pia elewa kwamba Dr Bashiru before alikuwa wap na sasa yuko wapi!! Pia unatakiwa uelewa kwamba hata ww au yeyote awe na uprofesa haimfanyi atoe hulka ya kibnadam hvyo Bashiru ni yule yule out of kuwa Dr!!! Anahulka ya ubnadam ule ule ambao hata kama ungekuwa ww ungeweza kujibu tena wewe navyooona ungechukua hata jiwe koz syo kwa kuwa disi madokta w Udsm. But worry not