Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,974
- 134,089
Kuna watu nchi hii hawana kabisa mishipa ya aibu.
Ni jana tu Dr huyu alionekana kuwa mwenyekiti mwenza wa asasi za kiraia zitakazofanya shughuli ya uangalizi uchaguzi mkuu, leo ananukuliwa na magazeti akisifia timu ya kampeni ya CCM.
Iko wapi credibility ya huyu mtu.
Mtafiti na mchambuzi fake kama huyu mwenye mahaba na CCM unategemea ataandika ripoti huru kuhusu uchaguzi?
Ni jana tu Dr huyu alionekana kuwa mwenyekiti mwenza wa asasi za kiraia zitakazofanya shughuli ya uangalizi uchaguzi mkuu, leo ananukuliwa na magazeti akisifia timu ya kampeni ya CCM.
Iko wapi credibility ya huyu mtu.
Mtafiti na mchambuzi fake kama huyu mwenye mahaba na CCM unategemea ataandika ripoti huru kuhusu uchaguzi?