Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,503
- 113,616
- Thread starter
- #241
soma hapaWanabodi,
Angalia TBC Live, Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dr. Ayoub Rioba Chacha, atoa mwelekeo wa TBC for 2018.
Dr. Rioba ameulizwa swali kuhusu TBC kufanya upendeleo kwa CCM na serikali
Hapa namuona Dr. Rioba akikumbwa na kigugumizi...
Akitolea mfano matangazo ya mkutano Mkuu wa CCM, amesema TBC inachokifanya ni kutanguliza tuu mbele kitu kinachoitwa Public Interest, hivyo TBC ndio ilikuwa ya mwisho kuamua kuutangaza mkutano wa CCM, hata hivyo amesema CCM imelipa!.
Amesema hata Chadema wakiomba TBC kuwatangazia mkutano wake Mkuu, TBC itawatangaza tuu ili mradi walipe.
Dr. Rioba atoboa siri kuwa TBC imekuwa ikiwaita viongozi wakuu wa vyama vya upinzani, kushiriki kwenye mijadala mbalimbali TBC, lakini wao ndio huwa hawatokei, wanaikimbia!
Kipindi kimemalizika.
My Take.
All the Best kwa TBC 2018.
- Dr. Rioba amesema TBC haina upendeleo kwa CCM, itatenda haki kwa vyama vyote, kumbe vingozi wa upinzani huwa wanaalikwa TBC lakini wanaingia mitini!, mwaka 2018, tutegemee kuona more political programs zenye balanced representation
Paskali
Live News Interactive!-TBC-1 Yastahili Pongezi!. ''Hongera TBC-1" Keep it Up!
Kama Magufuli Anaangalia Clouds TV na Kuipongeza, Kunatuma Ujumbe Gani kwa TV yake ya TBC?!.
Uchaguzi 2010: TBC1 are doing good job!
TBC Yafanya Kweli!, Yashusha OB Van ya Kufa Mtu!, Ina Kamera 12!. Itarusha HDV Signal Kama DSTV.