Dr. Ayub Rioba atoa Mwelekeo wa TBC kwa Mwaka 2018. Kufikisha viwango vya juu kiwango cha BBC

Wanabodi,

Angalia TBC Live, Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dr. Ayoub Rioba Chacha, atoa mwelekeo wa TBC for 2018.

Dr. Rioba ameulizwa swali kuhusu TBC kufanya upendeleo kwa CCM na serikali

Hapa namuona Dr. Rioba akikumbwa na kigugumizi...
Akitolea mfano matangazo ya mkutano Mkuu wa CCM, amesema TBC inachokifanya ni kutanguliza tuu mbele kitu kinachoitwa Public Interest, hivyo TBC ndio ilikuwa ya mwisho kuamua kuutangaza mkutano wa CCM, hata hivyo amesema CCM imelipa!.

Amesema hata Chadema wakiomba TBC kuwatangazia mkutano wake Mkuu, TBC itawatangaza tuu ili mradi walipe.

Dr. Rioba atoboa siri kuwa TBC imekuwa ikiwaita viongozi wakuu wa vyama vya upinzani, kushiriki kwenye mijadala mbalimbali TBC, lakini wao ndio huwa hawatokei, wanaikimbia!

Kipindi kimemalizika.

My Take.
  1. Dr. Rioba amesema TBC haina upendeleo kwa CCM, itatenda haki kwa vyama vyote, kumbe vingozi wa upinzani huwa wanaalikwa TBC lakini wanaingia mitini!, mwaka 2018, tutegemee kuona more political programs zenye balanced representation
All the Best kwa TBC 2018.

Paskali
Live News Interactive!-TBC-1 Yastahili Pongezi!. ''Hongera TBC-1" Keep it Up!
Kama Magufuli Anaangalia Clouds TV na Kuipongeza, Kunatuma Ujumbe Gani kwa TV yake ya TBC?!.
Uchaguzi 2010: TBC1 are doing good job!
TBC Yafanya Kweli!, Yashusha OB Van ya Kufa Mtu!, Ina Kamera 12!. Itarusha HDV Signal Kama DSTV.
soma hapa
 
Wanabodi,

Angalia TBC Live, Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dr. Ayoub Rioba Chacha, atoa mwelekeo wa TBC for 2018.

Kipindi nimekukitia katikati,
Dr. Rioba amesema amepania kuipaisha TBC kwa kuifanyia maboresho mabalimbali hadi kufikia katika viwango vya kimataifa kama vya BBC.

Dr Rioba amesema kwa hali ilivyo sasa, TBC imejitahidi sana, lakini amekiri TBC kukabiliwa na changamoto mbalimbali kwa sababu TBC ina operate katika mazingira magumu sana, hivyo amewashukuru sana wafanyakazi wa TBC kwa kufanya kazi kwa kujituma na moyo wa kujitolea licha kufanya kazi katika mazingira magumu ya kazi na huku wakilipwa maslahi duni. Kwa mwaka 2018 atajitahidi sana kuboresha maslahi kwa kuanzia na malipo ya posho ambazo tayari zimeisha kuwa approved na bodi.

Kuhusu kutaka kufanya baadhi ya mambo na kujikuta anakwamishwa na urasimu wa serikali, Dr Rioba, amepigilia misumari kuwa ili TBC ipae na kufikia viwango vya BBC, ziko sheria, taratibu na kanuni za serikali lazima zinadilishwe, ili ziendane na mabadiliko tarajiwa, amekiri urasimu na baadhi ya taratibu za kiserikali zinamuwekea usiku, kuikimbiza TBC kubadilika, hivyo kushindwa kufanya mambo makubwa on time kwa wakati tarajiwa. Ametolea mfano ili kufanya baadhi ya mambo ni lazima uandike barua huku na kule, kuna baadhi ya idara barua inakaa hadi miezi miwili haijajibiwa!, amesema yeye akipokea barua zote huzijibu pale pale!, amesisitiza huu urasimu usio wa lazima katika baadhi ya maeneo serikalini lazima uishe!, ili tupate maendeleo ya kweli, lazima serikali ibadilike the way it does some things.

Dr. Rioba ameulizwa swali kuhusu TBC kufanya upendeleo kwa CCM na serikali

Hapa namuona Dr. Rioba akikumbwa na kigugumizi...
Akitolea mfano matangazo ya mkutano Mkuu wa CCM, amesema TBC inachokifanya ni kutanguliza tuu mbele kitu kinachoitwa Public Interest, hivyo TBC ndio ilikuwa ya mwisho kuamua kuutangaza mkutano wa CCM, hata hivyo amesema CCM imelipa!.

Amesema hata Chadema wakiomba TBC kuwatangazia mkutano wake Mkuu, TBC itawatangaza tuu ili mradi walipe.

Dr. Rioba atoboa siri kuwa TBC imekuwa ikiwaita viongozi wakuu wa vyama vya upinzani, kushiriki kwenye mijadala mbalimbali TBC, lakini wao ndio huwa hawatokei, wanaikimbia!.

Rioba amesema TBC inataka kufanya kazi na watu wote na vyama vyote bila ubaguzi, bila upendeleo.

Kuhusu tuhuma za TBC kuhonga watu ili kumsifia Magufuli, Dr. Rioba amekanusha vikali.
"Mimi ni muumini wa uhuru wa watu kujieleza, lakini hakuna haki isiyokuwa na wajibu, uhuru tunaoutumia kwenye mitandao, tuhuma za TBC kutoa rushwa ili kuandaa Kipindi cha kumsifia Magufuli"

TBC inaamini katika haki, hakuna rushwa kabisa katika TBC

Pia amezungumzia fake news, amekiri TBC kufanya kosa, kuhusu uwepo wa fake news, amesema amezama deep namna bora ya ku deal na fake news ni kuboresha mafunzo, amemshukuru mhe rais kuwasamehe wahusika wa fake news ya TBC, yeye aliishawafukuza jumla.

Amesema alikasirika kwa sababu TBC ndio taasisi yanye pool kubwa kabisa ya waandishi walioelimika kwa viwango vya juu, kabisa, wenye weledi, hivyo kwa mwaka 2017, TBC itaboresha Zaidi contents.

Pia Dr. Rioba amezungumzi TBC TaIfa, TBC FM na TBC international, TBC kuwa TBC itaendeleza dhima ya RTD, ameagiza magari 9, TBC itawafuata wananchi kule vijijini.

TBC pia itafanya kazi ya watchdog to the society, TBC kama chombo cha habari, ikifanya kazi yake ipasavyo, TBC itaisaidia sana serikali kubaini maeneo ya mapungufu kwa kuyaibua, sio kusubiri hadi rais, waziri Mkuu au serikali ndio ikaibue madudu.

Kumbe Dr. Rioba ndie Makamo raia wa Vyombo wa Utangazaji Kusini mwa Africa, SABA, uliochini ya SADC, hivyo amezungumzia umaajumui wa Afrika, kuwa TBC itashiriki.

Amemalizia kwa kusisitiza kuwa TBC inajipanga kujitegemea kwa kuzindua mpango kabambe. TBC kuwa na makao makuu Dodoma, kwa kuanzia itahamishia watumishi 15 Dodoma

Kipindi kimemalizika.

My Take.
  1. Kwanza Dr. Ayoub Rioba huyu aliyeongea leo, ndiye yule Ayoub Rioba tuliomfahamu sisi kama Ayoub Rioba, kabla hawajawa Mkurungenzi wa TBC, sijui ni nini kilimpata hapa katikati, lakini sasa huyu ndiye Ayoub tuliyemfamu ni mwandishi nguli, mbobebezi na mzalendo mwenye kutanguliza mbele maslahi ya Taifa na Watanzania, hivyo sasa Dr. Rioba anakwenda kui transform TBC kutoka kuwa ni TV ya serikali, Government TV Station na kuwa ni Public Broadcasting Station
  2. Kitendo cha kuipania TBC kujitegemea, ni cha kuungwa mkono kwa asilimia 100%, serikali iendelee kuigharimia TBC kama wajibu wake, lakini TBC ibuni vyanzo vingine vya mapato. Hii itaifanya TBC iwe independent, swali ni jee serikali itaikubalia TBC kuwa independent?. Kwa sababu the more TBC inavyojitegemea ndivyo serikali inavyo losse grip kwenye TBC!.
  3. Kwa vile Dr. Rioba amepania kuipaisha TBC kufikia levels za BBC, lazima set up na funding ya TBC iwe ki BBC, Tanzania tuanzishe broadcasting levy, TBC ipatiwe fungu lake linalojitegemea kwa kugharimiwa na umma, nakumbuki nikiwa UK, kila mtu anakatwa Fedha kuigharimia BBC, mimi nakalalamika kuwa nikiwa UK sitaangalia BBC, wala sitasikiliza BBC radio, nikaambiwa usikilize, usisikize as long as umechuma pesa in UK, lazima uligharimie BBC. Kama ilivyo kwa Fedha za SDL.
  4. Ili TBC iweze kuwa kama BBC kwenye programing, lazima sasa TBC ikubali kupokea Vipindi vya nje, kutoka kwa independent produces, hii ni fursa kwa production houses, ku produce good programs zenye maudhui mazuri na good quality kuitumia TBC kurusha diverse opinion.
  5. Kitendo cha Dr. Rioba kupania kuijengea uwezo TBC kuisaidia serikali kwa kuwa a watchdog to society kwa TBC kutosubiri hadi rais Magufuli afanye ziara za kushtukiza ndipo kuibua madudu, sasa TBC itapenya na kuibua madudu, serikali itafuatilia. Hii maana yake TBC sasa itakuwa na Vipindi vya Investigative Journalism, kama ilivyo kwa Jicho Pevu kule Kenya, hakuna TV yoyote Tanzania, inafanya investigative journalism program.
  6. Dr. Rioba amesema TBC haina upendeleo kwa CCM, itatenda haki kwa vyama vyote, kumbe vingozi wa upinzani huwa wanaalikwa TBC lakini wanaingia mitini!, mwaka 2018, tutegemee kuona more political programs zenye balanced representation.
  7. Kwa vile mimi ni mtu wa broadcast journalism, kuna mambo mengine ya TBC ni not for public consumption, hivyo nitamtafuta Dr. Rioba on one on one.
All the Best kwa TBC 2018.

Paskali
Live News Interactive!-TBC-1 Yastahili Pongezi!. ''Hongera TBC-1" Keep it Up!
Kama Magufuli Anaangalia Clouds TV na Kuipongeza, Kunatuma Ujumbe Gani kwa TV yake ya TBC?!.
Uchaguzi 2010: TBC1 are doing good job!
TBC Yafanya Kweli!, Yashusha OB Van ya Kufa Mtu!, Ina Kamera 12!. Itarusha HDV Signal Kama DSTV.
ngoja tuone huenda RIOBA akakufikiria maana MEKO kila akikusoma hakupatii jibu
 
Wanabodi,
Leo ni siku ya kimataifa ya uhuru wa habari, kila mwaka sisi waandishi huwa tunakutana mahali kwa siku 2 na kujadili mambo mbalimbali kuhusu uhuru wa habari, na katika mkusanyiko huo, serikali, vyama vya habari na Taasisi za habari hutoa matamko kede kede kuhusu uhuru wa habari, lakini kwa mwaka huu, kufuatia janga la Corona, hakuna maadhimisho yoyote rasmi ya kukutana, ila nilitegemea wizara ya habari, vyama vya habari na mashirika na Taasisi za habari zitoe matamko mbalimbali.

Bado sijabahatika kuona tamko lolote!, ila usikute zile speech huwa zinaandaliwa kwa ajili ya presentations kwenye kongamano hotelini, safari na per diem!, leo hakuna safari, no trip, no per diem, no hotel gathering, hivyo this time hata speech tuu hakuna?!.

Nawatakia waandishi wenzangu, maadhimisho haya ya kimya kimya, nawashauri wale wafadhili mbalimbali wa tukio hili, kwa vile hatukusafiri, wala kula na kulala hotelini, then naomba hao wafadhili watutumie tuu hizo per diem, tutahama majumbani mwetu na kuhamia hotelini 3 days kisha tutatoa matamko.

Paskali
 
Wanabodi,

Angalia TBC Live, Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dr. Ayoub Rioba Chacha, atoa mwelekeo wa TBC for 2018.

Dr. Rioba ameulizwa swali kuhusu TBC kufanya upendeleo kwa CCM na serikali

Hapa namuona Dr. Rioba akikumbwa na kigugumizi...
Akitolea mfano matangazo ya mkutano Mkuu wa CCM, amesema TBC inachokifanya ni kutanguliza tuu mbele kitu kinachoitwa Public Interest, hivyo TBC ndio ilikuwa ya mwisho kuamua kuutangaza mkutano wa CCM, hata hivyo amesema CCM imelipa!.

Amesema hata Chadema wakiomba TBC kuwatangazia mkutano wake Mkuu, TBC itawatangaza tuu ili mradi walipe.

Dr. Rioba atoboa siri kuwa TBC imekuwa ikiwaita viongozi wakuu wa vyama vya upinzani, kushiriki kwenye mijadala mbalimbali TBC, lakini wao ndio huwa hawatokei, wanaikimbia!.

Rioba amesema TBC inataka kufanya kazi na watu wote na vyama vyote bila ubaguzi, bila upendeleo.

My Take.
  1. Dr. Rioba amesema TBC haina upendeleo kwa CCM, itatenda haki kwa vyama vyote, kumbe vingozi wa upinzani huwa wanaalikwa TBC lakini wanaingia mitini!, mwaka 2018, tutegemee kuona more political programs zenye balanced representation.
  2. Kwa vile mimi ni mtu wa broadcast journalism, kuna mambo mengine ya TBC ni not for public consumption, hivyo nitamtafuta Dr. Rioba on one on one.
All the Best kwa TBC 2018.

Paskali
Kilichotokea jana pale Mbagala Zakhiem, kwenye mkutano wa uzinduzi kampeni za Chadema, party ni hiki kilichozungumzwa na Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dr. Ayub Rioba, 3-years ago

Dr. Rioba alisema TBC itafanya kazi na vyama vyote. Kama TBC imetuma team ya live kutangaza live mkutano wa Chadema, halafu Mwenyekiti wa Chadema akawafukuza live on TV kwa kuwatuhumu kuzima matangazo huku wakiwa live on air!. This is not right at all!.

TCRA watoe muongozo kwa vyama vyote vya siasa wakiwa live wazungumzie nini na wasizungumzie nini, ili wasikatwe wakiwa live.

Kitendo cha kuwafukuza TBC sio cha Kistaarabu kwa sisi media kufukuzwa kama mbwa kuonyeshea hutakiwi!.

Huku sio kujitendea haki Chadema kama chama, sio kuwatendea haki wanachama wao na kikubwa zaidi sio kuwatendea haki Watanzania kwa ujumla kukosa fursa ya kusikia sera za Chadema, hivyo kukichagua,haswa kwa kuzingatia TBC ndio the only FTA television Tanzania yenye the widest coverage.

P
 
Kilichotokea jana pale Mbagala Zakhiem, kwenye mkutano wa uzinduzi kampeni za Chadema, party ni hiki kilichozungumzwa na Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dr. Ayub Rioba, 3-years ago

Dr. Rioba alisema TBC itafanya kazi na vyama vyote. Kama TBC imetuma team ya live kutangaza live mkutano wa Chadema, halafu Mwenyekiti wa Chadema akawafukuza live on TV kwa kuwatuhumu kuzima matangazo huku wakiwa live on air!. This is not right at all!.

TCRA watoe muongozo kwa vyama vyote vya siasa wakiwa live wazungumzie nini na wasizungumzie nini, ili wasikatwe wakiwa live.

Kitendo cha kuwafukuza TBC sio cha Kistaarabu kwa sisi media kufukuzwa kama mbwa kuonyeshea hutakiwi!.

Huku sio kujitendea haki Chadema kama chama, sio kuwatendea haki wanachama wao na kikubwa zaidi sio kuwatendea haki Watanzania kwa ujumla kukosa fursa ya kusikia sera za Chadema, hivyo kukichagua,haswa kwa kuzingatia TBC ndio the only FTA television Tanzania yenye the widest coverage.

P
Ubaya wa TBC imekaa kama channel ya CCM vile.
 
Nashukuru kwa uzi wako, natumai bwana mayala siku chache zijazo utakuja na uzi mfano wa huu, kucriticize TBC na uongo wao wa kichama
Wewe si iendelee kusikiliza ukweli na uhakika kutoka TBC au ianzishe ya kwako kwakuwa unajiona ni nguli kuliko nguli wa BBC.
Haikosoi TBC hata mara moja anaikosoa BBC.
Heeeee! eti BBC!!! Yaani watu hawaoni fyongo, uzushi na upotoshaji wa TBC ya Ayoub wanaona ya London
''Ondoa kibanzi kwenye jicho lako ndipo uondoe boriti .....''
JokaKuu
Uwezo wako ni wakukosoa TBC tu... Huko pengine sio level yako... Kwanza mabeberu ni wakina nani?
Karibuni.
P
 
Back
Top Bottom