DPP: Wakili Maneno Mbunda anayedaiwa kupotea huko Arusha anashikiliwa na Polisi pamoja na wenzake 9 kwa mahojiano

Hilo la kwanza, vipi kutompeleka mahakamani ndani ya masaa 48?
Kulikuwa na ukusanywaji wa vielelezo na kuangalia kama kuna wahusika zaidi ambao wanaweza kuharibu ushahidi kama wakiwa nje, hivi hizo tuhuma unaona ni ndogo? Na kwanini dada mtu atumie kauli ya uongo na ya kutaka kuonewa huruma na jamii ?? Na kwanini wanaharakati hudandia bus bila kujua linakoelekea kama sio upuuzi
 
Kulikuwa na ukusanywaji wa vielelezo na kuangalia kama kuna wahusika zaidi ambao wanaweza kuharibu ushahidi kama wakiwa nje, hivi hizo tuhuma unaona ni ndogo? Na kwanini dada mtu atumie kauli ya uongo na ya kutaka kuonewa huruma na jamii ?? Na kwanini wanaharakati hudandia bus bila kujua linakoelekea kama sio upuuzi
Huo sio utaratibu, hiyo ni unlawful detainment. Serikali lazima ifuate sheria, mpeleke mtu mahakamani, halafu imuombe hakimu asimpe dhamana kwa sababu abc. Sio kumfungia for 7 days, usipopelekwa mahakamani in time hakuna tofauti na kutekwa. Walikuwa sahihi kupiga kelele, kumesaidia wamepelekwa mahakamani. Kama wangekaa kimya huo "ukusanyaji wa vielelezo" ungeweza kuchukua mwaka mzima.

Serikali ifuate sheria, ni hilo tu.
 
Huo sio utaratibu, hiyo ni unlawful detainment. Serikali lazima ifuate sheria, mpeleke mtu mahakamani, halafu imuombe hakimu asimpe dhamana kwa sababu abc. Sio kumfungia for 7 days, usipopelekwa mahakamani in time hakuna tofauti na kutekwa. Walikuwa sahihi kupiga kelele, kumesaidia wamepelekwa mahakamani. Kama wangekaa kimya huo "ukusanyaji wa vielelezo" ungeweza kuchukua mwaka mzima.

Serikali ifuate sheria, ni hilo tu.
kama ni unlawaful detention , basi hatua za kuchukua nikufungua kesikupinga hiyo unlawful detention badala ya kutumia uongo , ili watu waone machozi yako.
 
kama ni unlawaful detention , basi hatua za kuchukua nikufungua kesikupinga hiyo unlawful detention badala ya kutumia uongo , ili watu waone machozi yako.

Mzee, kama kuna njia fupi ya ku-achieve the same results, kwanini uende kwenye ngumu. Wame-publicize na wamepata matokeo. Halafu serikali kuvunja sheria huku ikisema tuende mahakamani ni upuuzi wa kiwango cha juu. They should know better, they are supposed to maintain law and order, sio kuvunjs sheria kisa kusema tuende mahakamani. Kuna gharama, na sio kila mtu anaweza afford hizo gharama. Serikali ifuate sheria
 
Mzee, kama kuna njia fupi ya ku-achieve the same results, kwanini uende kwenye ngumu. Wame-publicize na wamepata matokeo. Halafu serikali kuvunja sheria huku ikisema tuende mahakamani ni upuuzi wa kiwango cha juu. They should know better, they are supposed to maintain law and order, sio kuvunjs sheria kisa kusema tuende mahakamani. Kuna gharama, na sio kila mtu anaweza afford hizo gharama. Serikali ifuate sheria
walikuwa in the process kama kauli ya DPP ulivyoisikia na wataendelea na kesi , bila kujali kama ndioyeye mzalishaji pekee wa familia au wako wengi
 
Hapa ndipo nilipoamini kuwa sheria na haki havipo kwenye sayari hii, jamaa alichomolewa ubalozini kama kipanga.
download (1).jpg
 
walikuwa in the process kama kauli ya DPP ulivyoisikia na wataendelea na kesi , bila kujali kama ndioyeye mzalishaji pekee wa familia au wako wengi
Let's end it here... all in all, sheria na haki za watu ziheshimiwe. Kusimamia sheria kufanyike ndani ya sheria huku haki za kila mtu zikilindwa. Justice delayed is justice denied.
 
Back
Top Bottom