DPP kufuta kesi ya Iddi Simba ni dhihaka kwa raia

DPP kufuta kesi ya Iddi Simba ni dhihaka kwa raia

.
Watendaji baada ya kushtuka kuwa ikulu kuna boya wanaamua na kutenda watakavyo. Lakini haya yanayofanywa na watawala kwa sasa ni kwa maangamizi yao wenyewe.
.

Sasa nimeamini kuwa hapa nchini mwenye nguvu za maamuzi sio Rais Kikwete bali kuna kundi la watu ndio wanaotawala nchi hii!!! Siamini kabisa na hili nina uhakika kuwa Kikwete angeweza kumuamuru DPP afute hii kesi ya Idd Simba!!! I am dead certain that there are other forces outside the government who dictate what has to be done in our country; this is a very dangerous trend which renders our government IMPOTENT and a recipe for anarchy!!
 
Wanalindanai tu hawa. Nchi yetu tumekosa umakini na uzalendo wa kweli
 
nilisema ktk maadui wa kubwa wa jamii (public enemy) number 1 ni DPP... huyu eliaza feleshi ni hatari sana kwa interest za watanzania!!!! he is not accountable and he is not required to explain his decision what a job????
 
Sasa wewe mkuu wa kaya ndiye mwenye biashara, kweli DPP angefanya nini kwa uozo wa serekali ya Tanzania
 
Back
Top Bottom