Udugu wa Watanzania ni mrefu sana, mfano ni huu. Baba yangu alikuwa ni kaka yake tumbo moja na shangazi, binamu yake wa baba yake mdogo dada mmoja na kaka yake wa shangazi mzaa bibi, mjukuu wa babu mkubwa mzaa mama, binamu yake wa bibi mzaa kaka yake mkubwa aliye zaa na shemeji yake mama mdogo binamu yake baba mdogo.
Hapo vipi............................................................................................