Nimepata habari kwamba Andrew Chenge ni mjomba wake DPP Feleshi. Huku Tanzania, mtoto hawezi kumshtaki baba yake!! Ni kwa nini DPP Feleshi haku declare "conflict of interest" kuhusu kesi ya Fisadi Chenge? Basi ni lazima, Feleshi ameshampatia mjoba wake hoja zote za Takukuru kuhusu ile kesi ya rada nk. Tusitegemee haki kati hili.