Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,660
- 46,347
Katika miaka mitano hadi kumi ijayo endapo IGA hii ya serikali na DP World haitakuwa kama wapinzani wanavyoisema kwa sasa basi upinzani utapoteza kuaminika kabisa na CCM itajichimbia mizizi ya kutawala hadi nusu karne nyingine ijayo.
Kama IGA hii itakuwa kama inavyosemwa na wapinzani basi hakuna namna CCM itaweza kuendelea kuhodhi madaraka ya nchi tena.
Itaopeteza kabisa support muhimu ilizo nazo kwa sasa.
Suala la DP World ni kubwa sana na muda utazungumza vizuri zaidi.
Kama IGA hii itakuwa kama inavyosemwa na wapinzani basi hakuna namna CCM itaweza kuendelea kuhodhi madaraka ya nchi tena.
Itaopeteza kabisa support muhimu ilizo nazo kwa sasa.
Suala la DP World ni kubwa sana na muda utazungumza vizuri zaidi.