Madaktar habarin za mapumziko.JE dozi ya vidonge vya QUINENE kwa mtu mzima ni vidonge vingapi?30 au 42?msaada tafadhali.
.... Awali dose ya kwinini inategemea uzito wa mtu
>> formula
1 kg = 10 mg ya quinine
km mtu mwenye 45 kg
45 x 10 = 450 mg
kidonge 1 = 300 mg
so dose hapa ni kidonge 1 na nusu.
[mind u 1. dose ni kile kiasi cha dawa unachomeza kwa mkupuo mmoja, kiasi cha dawa utakachotumia kumaliza course kinaitwa dosage(dozeji) 2. Max dose ya qnn ni vidonge 2 = 600 mg)
So kwa mtu wa kg 45 dozeji ni
1.5 x 3 x 5 au 1.5 x 3 x 7
ni vidonge 23 au 31 kutegemea na dr amekusudia mgonjwa amekusudia atumie dawa kwa siku 5 au 7. [ mind u dozeji ni kwa siku 5- 7 toka siku ya kuanza qnn, iwe umeanza na injection then vidonge ama ni vidonge pekee].
Turudi kwenye swali lako inaonekana mgonjwa wako ana 60 kg or more, dose yake ni vidonge 2
So dosage itakuwa:
2 x 3x 5 [kwa siku 5] = 30
AU
2 x3 x7 [kama ni siku 7] = 42
Kwa ufupi dose [kuanzia leo ita dosage] ya vidonge 30 ama 42 zote ni sahihi.
... DAKTARI ATACHEZA NA HUKUMU YOYOTE KATI YA HIZO,KUWAHUKUMU HAO PLASMODIUM!
asante sana kwa kunielimisha.umenifuta ujinga brother.THANKS JF