Dozi ya Quinine ni vidonge vingapi?

tizo1

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
856
145
Madaktar habarin za mapumziko.JE dozi ya vidonge vya QUINENE kwa mtu mzima ni vidonge vingapi?30 au 42?msaada tafadhali.
 
Madaktar habarin za mapumziko.JE dozi ya vidonge vya QUINENE kwa mtu mzima ni vidonge vingapi?30 au 42?msaada tafadhali.

Mapumziko ndo yameisha mkuu bado tuko hoi:

.... Awali dose ya kwinini inategemea uzito wa mtu.

>> formula:

1 kg = 10 mg ya quinine

km mtu mwenye 45 kg
45 x 10 = 450 mg

kidonge 1 = 300 mg
so dose hapa ni kidonge 1 na nusu.

Mind u
1.dose ni kile kiasi cha dawa unachomeza kwa mkupuo mmoja,
kiasi cha dawa kumaliza tiba huitwa dosage(dozeji)

2. Max dose ya qnn ni vidonge 2= 600mg)

So kwa mtu wa kg 45 dozeji ni
1.5 x 3 x 5 au 1.5 x 3 x 7
ni vidonge 23 au 31 kutegemea na dr amekusudia mgonjwa atumie dawa kwa siku 5 au 7.

[ Elewa dozeji ni kwa siku 5- 7 toka siku ya kuanza qnn, iwe umeanza na injection then vidonge ama ni vidonge pekee].

Turudi kwenye swali lako inaonekana mgonjwa wako ana 60 kg or more na anatumia vidonge pekee,
dose yake ni vidonge 2
So dosage itakuwa:
2 x 3x 5 [kwa siku 5] = 30
AU
2 x3 x7 [kama ni siku 7] = 42


Kwa ufupi dose [kuanzia leo ita dosage] ya vidonge 30 ama 42 zote ni sahihi.

... DAKTARI ATACHEZA NA HUKUMU YOYOTE KATI YA HIZO,KUWAHUKUMU HAO WADUDU!
 
.... Awali dose ya kwinini inategemea uzito wa mtu
>> formula
1 kg = 10 mg ya quinine
km mtu mwenye 45 kg
45 x 10 = 450 mg
kidonge 1 = 300 mg
so dose hapa ni kidonge 1 na nusu.
[mind u 1. dose ni kile kiasi cha dawa unachomeza kwa mkupuo mmoja, kiasi cha dawa utakachotumia kumaliza course kinaitwa dosage(dozeji) 2. Max dose ya qnn ni vidonge 2 = 600 mg)
So kwa mtu wa kg 45 dozeji ni
1.5 x 3 x 5 au 1.5 x 3 x 7
ni vidonge 23 au 31 kutegemea na dr amekusudia mgonjwa amekusudia atumie dawa kwa siku 5 au 7. [ mind u dozeji ni kwa siku 5- 7 toka siku ya kuanza qnn, iwe umeanza na injection then vidonge ama ni vidonge pekee].
Turudi kwenye swali lako inaonekana mgonjwa wako ana 60 kg or more, dose yake ni vidonge 2
So dosage itakuwa:
2 x 3x 5 [kwa siku 5] = 30
AU
2 x3 x7 [kama ni siku 7] = 42


Kwa ufupi dose [kuanzia leo ita dosage] ya vidonge 30 ama 42 zote ni sahihi.
... DAKTARI ATACHEZA NA HUKUMU YOYOTE KATI YA HIZO,KUWAHUKUMU HAO PLASMODIUM!

asante sana kwa kunielimisha.umenifuta ujinga brother.THANKS JF
 
nami nilikuwa na swali kama hili.....kabla ya kuuliza ilibidi nipitie kwanza kuona kama haipo humu ndani
 
Back
Top Bottom