TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 1,816
- 5,151
Kwa wale wote waliwahi kuzionja goli 5 kutoka kwa Young Africans bila shaka watakuwa wanauelewa utamu wake namna ulivyo!
Kama ulikula keki vipande 5 na bado hukuridhika,basi usiwe na shaka wewe jiandae na Birthday nyingine lazima utakula na utashiba!
Kazi ya Yanga ni kuhakikisha kila mualikwa lazima aionje keki atake asitake!
KOLO alikula vipande 5 lakini ajabu amebaki kuwaonea waalikwa wenzie wivu nao wakila vipande Vi - 5 kama yeye!.
Huu wivu umeanza lini ndugu zangu wa UKOLOKOLONI?
Kama ulikula keki vipande 5 na bado hukuridhika,basi usiwe na shaka wewe jiandae na Birthday nyingine lazima utakula na utashiba!
Kazi ya Yanga ni kuhakikisha kila mualikwa lazima aionje keki atake asitake!
KOLO alikula vipande 5 lakini ajabu amebaki kuwaonea waalikwa wenzie wivu nao wakila vipande Vi - 5 kama yeye!.
Huu wivu umeanza lini ndugu zangu wa UKOLOKOLONI?