Imekubali na ndo naitumia kwa sasa.(u) Nilienda kwenye(/u) configurations kisha kuna sehemu nikakuta options 3,yaani blackberry,internet options,na firefox. Nikachagua BB. Kisha nika save. Ikakataa kwa muda hadi baadaye ikakubali yenyewe.
Nashukuru mkuu.