Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,502
- 911,254
Can our lawyers like u Ruta register ur votes in the court of law? You have said right! But ar u ready to take a step? Be bold and match towards justice!
I am very pleased by your observations...............I am glad to let you know there are four legal companies in Dar working to extricate this nation from this broad-daylight theft surreptitiously engineered by JK.....................................a thief in chief.............................
Hapa ndipo uchakachuaji wa sheria ya manunuzi ulipoanza........................ni makosa kusema eti sheria lazima ikatae utartibu kama huu walioutumia tanesco na Richmond/Dowans.........................sheria ikiisha kusema manunuzi yote ya serikali ni lazima yaidhinishwe na Bodi ya manunuzi moja kwa moja inamaanisha ya kuwa huwezi ukatumia utaratibu mwingine kama ule ambao Edward Loawssa aliuutumia wa kupindisha sheria na kutumia kiumbe kiitwacho GNT...................yaani Government Negotiating Team.............hata kama ilijazwa makatibu wakuu wa nishati, Fedha, ofisi ya Ag n.k..............chombo hicho hakitambuliwi na sheria yetu ya manunuzi na hivyo kimekatazwa.........................................matendo ya watendaji serikalini wakishirikiana na maswahiba wao wa Richmond/ Dowans hayawezi kuhalalisha uvunjaji wa sheria kwa sababu wahusika hao hawako juu ya sheria za nchi hii...................simple and clear.........
Ndugu yangu Rutasubayuma, hivi bado unalalama kuhusu malipo ya Dowans?, inamaana mpaka hapa tuipofikia, wewe hujauelewa mchezo mzima?.
Anayedaiwa fidia kasema atalipa sasa wewe unataka nini tena?.
Hivihujagundua hayo majina ya wamiliki pale Brella most ni fictitious names?. The true benefactors wa dowans ni wengine, na amini usiamini, ukiwasikia, huwezi amini!.
Hao Tanesco wamesign mkataba unaotumia sheria za Tanzania lakini wenye vifungu kibao sio tu vinavyowafunga, bali vinavyoifanya sheria yetu iwe redundanty na supremacy ni rules zao!.
Kilichobakia sasa tunataka kuona hao wanasheria wazalendo na uzalendo wao kwa nchi yao. Ukisha sign kuwa rules must be obeyed, thus are the rules of the game, and that is the game people play, the winner takes it all, the looser standing small, and in this matter, the looses are we Tanzanians in general minus the benefisharies ambao pia ni wenzetu!.
Hili sasa tuna usahidi nalo na nitaliweka jamvini hivi punde.................................
Please Dont delay Gotta Strike While The Iron is Still Hot............ Please do the neadfull ASAP
Ndugu yangu Rutasubayuma, hivi bado unalalama kuhusu malipo ya Dowans?, inamaana mpaka hapa tuipofikia, wewe hujauelewa mchezo mzima?.
Anayedaiwa fidia kasema atalipa sasa wewe unataka nini tena?.
Hivihujagundua hayo majina ya wamiliki pale Brella most ni fictitious names?. The true benefactors wa dowans ni wengine, na amini usiamini, ukiwasikia, huwezi amini!.
Hao Tanesco wamesign mkataba unaotumia sheria za Tanzania lakini wenye vifungu kibao sio tu vinavyowafunga, bali vinavyoifanya sheria yetu iwe redundanty na supremacy ni rules zao!.
Kilichobakia sasa tunataka kuona hao wanasheria wazalendo na uzalendo wao kwa nchi yao. Ukisha sign kuwa rules must be obeyed, thus are the rules of the game, and that is the game people play, the winner takes it all, the looser standing small, and in this matter, the looses are we Tanzanians in general minus the benefisharies ambao pia ni wenzetu!.