DOUBLE TREE kama kawaida

DOUBLE TREE kama kawaida

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Ile Hoteli iliyosemekana imefungwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira,Dr.Thereza Huvizya,inafanya kazi zake kama kawaida. Hata lunch yangu leo nimepata hapo.Imeshafunguliwa? Au inatunisha msuli kwa Waziri? Au,haijulikani Serikalini? Tafakari!
 
Tanzania bila rushwa haiwezekani mkuu..
 
Ile Hoteli iliyosemekana imefungwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira,Dr.Thereza Huvizya,inafanya kazi zake kama kawaida. Hata lunch yangu leo nimepata hapo.Imeshafunguliwa? Au inatunisha msuli kwa Waziri? Au,haijulikani Serikalini? Tafakari!

Mbona hilo siyo habari? Si tulisema hapa https://www.jamiiforums.com/habari-...aifunga-hotel-ya-double-tree.html#post5259676 toka juzi?!
Wanaweza kuifunga magazetini lakini hawawezi kuifunga isipokee wageni na kutoa huduma. Wanamjua Lowassa au hawamjui?!
 
Waziri anashindana na "mwekezaji" anayemlipa mshahara
 
Watakuwa wamepewa muda wamalizie thamaki na kabichi zilizoko kwenye friji. Watafunga tu msijali, si mnajua krismas ni kipindi cha mavuno kwa waziri na hoteli pia?
 
Back
Top Bottom